Tatizo ni jezi tunayotumia (fulana) ina rangi nyeusi kwa chini hivyo haipatani na bukta nyeupe
Vipi kuhusu soksi hujagundua tu kwamba soksi zenye rangi nyekundu nao sio utamaduni wetu uliozoeleka
Kawaida ni fulana nyekundu,bukta nyeupe na soksi nyeusi
Timu inao wataalam, ni kazi ya kocha kuwa-organize. Awaache vijana wacheze mpira. Midfiielders wapo wazuri kuanzia Scott, Perreira, Fred, Herrera, Matic mpaka Pogba. Vijana wanajua, sema approach ya mwalimu ndiyo inakuwa ishu
watu kama nyie ni wa kupigwa kama yule mwandishi wa habari tu...fred anapiga pasi inawapita wachezaji watatu na inamfikia mhusika we unasema hajui mpira