Boateng is on final years on his career he want more MONEY which Bayern cannot afford his preference club is PSGNot sure if he wants to leave or our club just wanted him and he refused.
Pep alifundisha Barca miaka 3 tu kama alivyofundisha Zizou SAF alifundisha United 26 yearsTangu pep mwenye mafanikio awaache,huyu ni kocha wa 3 lakini wanashindania makombe na sio top 4 au kushiriki eufa tu
Kama that's case sidhani kamaHili linaeleweka sema tunajitia upofu,playing style yetu haiwavutii wachezaji wenye majina makubwa pale.
Muda wa ma agent Kutengeneza pesa na majina mana chelsea wanataka kumpa mkataba mpya kante naona anapandia dili liende fasta.Agent claims Mourinho wants to sign Kante from Chelsea
Date published: Wednesday 8th August 2018 11:51
Jose Mourinho wants to sign N’Golo Kante from Chelsea, according to the agent of Axel Witsel.
Mourinho has targeted a centre-half throughout the entire summer, with Manchester United having signed central midfielder Fred, right-back Diogo Dalot and back-up keeper Lee Grant.
But Witsel’s agent says his client was wanted by the Premier League club.
He advised the Belgian against a move to United however, as Kante was his first choice.
Witsel completed a move to Borussia Dortmund earlier this month instead.
“There were other candidates. Manchester United wanted him, Napoli too,” Paul Stefani told Het Laatste Nieuws of Witsel.
“But I have told Axel: ‘At Dortmund you are the number one, at Manchester you are one of many… and at Napoli too’.
“I know from a very good source that Mourinho said he wanted Witsel, but not in the first place. N’Golo Kante topped his list.
“Eventually Axel said: ‘Do me a favour and finish it as quickly as possible, because I really want to go to Dortmund’.”
Agent claims Mourinho wants to sign Kante from Chelsea - Football365
Belo unachanganya mambo,nimesema kuna sababu nyingi kwanini mchezaji anakataa timu A halafu anaenda kusajiliwa na timu B,case ya van djik sijui ila alves alifuata hela psg maana yuko 34+,fred uhakika wa kucheza kila wiki pale etihad ulikuwa mdogo ukizingatia anahitaji kuitwa timu ya taifa,same as joginho (playing time),sanchez alishakubaliwa kwenda city sema mshahara ulikuwa mdogo dhidi ya huu wa mou kwake. I stand to be corrected again.Kama that's case sidhani kama
Van Djik
Alves
Fred
Sanchez
Jorginho
Wangekataa kwenda kucheza Man City ya Pep Guardiola na sidhani kama United ingeweza kuwasajili Pogba,Lukaku,Mikhi,Fred wakati Mourinho ndio kocha
Kumbe unaelewa sasa nakushangaa unalalamika big players hawataki kuja United sababu ya playing style ya Mourinho ?Belo unachanganya mambo,nimesema kuna sababu nyingi kwanini mchezaji anakataa timu A halafu anaenda kusajiliwa na timu B,case ya van djik sijui ila alves alifuata hela psg maana yuko 34+,fred uhakika wa kucheza kila wiki pale etihad ulikuwa mdogo ukizingatia anahitaji kuitwa timu ya taifa,same as joginho (playing time),sanchez alishakubaliwa kwenda city sema mshahara ulikuwa mdogo dhidi ya huu wa mou kwake. I stand to be corrected again.
As far as I remember 3 this season alone.Kumbe unaelewa sasa nakushangaa unalalamika big players hawataki kuja United sababu ya playing style ya Mourinho ?
How many big players ambao United wali-bid klabu yake ikakubali then mchezaji akakataa?
Mkuu sidhani kama ni sahihi kusema Mou alichukua ubingwa kwa zari. Mara zote alizo beba ubingwa Chelsea walikuwa na timu nzuri.
Kwa ishu ya Madrid ni kweli kuwa Mourinho hakufikia expectations. Lakini kumbuka aliikuta Madrid ambayo UEFA ilikuwa inaishia 16, lakini kwa misimu mitatu yote aliyo kuwepo wametolewa kwenye nusu fainali au robo fainali (Mara mbili katolewa na Barca nzuri na yenye figisu na Mara moja katolewa na Borutia). Katika misimu mitatu hiyo alichukua kombe moja la ligi kwa historia ya kufunga magoli Mengi zaidi.
Na lazima tukubali kuwa kwenye ligi alikuwa anachuana na Barcelona ambayo kwa wakati ule ilikuwa ndio timu bora na bado ilikuwa imekaa kwa muda mrefu.
Mention themAs far as I remember 3 this season alone.
chuki haziwezi kumuweka mtu mahali salama chikiStyle ya uchezaji wa JM inafanya tuonekane kama leicester kwenye dirisha la usajili,akiendelea huyu bwana itafika mahala tukigombea mchezaji na swansea mchezaji ataichagua swansea.
ukiondoa City msimu uliyopita Arsenal Ndiyo ilikuwa ikicheza mpira wa kuvutia sana unakumbuka ilishika nafasi ya ngapi??Wakati anakuja Chelsea EPL ilikuwa imetawaliwa na Arsena na Man U, alipaki basi akachukua, lakini msimu wa 3 akachemka akaenda Inter akaenda Madrid, akarudi, aina ya mpira wa Jose anaowafundisha wachezaji ushapitwa na wakati,
Umesema Madrid walikuwa wanatolewa hatua za awali yeye akapeleka nusufainali 2 lakini kwa wachezaji ambao alikuwa nao Madrid angeweza kuchukua Laliga hata 2 au chmpons league1 alichukua Laliga 1, nikrudi katika EPL Man u mjiandae kuangalia mpira usiokuwa na msisimko na kama hamna straika makini ambaye anahitaji nafasi 2 moja liwe goli imekula kwenu
Matatizo yana mwisho mkuu. Naelewa hali uliyonayo kwa sasa. Jitahidi upate muda wa peke ako upunguze stress.Yote matakataka hayo kante ntakuelewa hayo machizi kabisa
Mourinho anacheza mpira mbovu..licha ya kutokubeba kombe kwa liverpool,huwezi kuilinganisha liverpool na man u yetu interms of mpira wa kuvutia,team intergration,manager passion,na kuwafanya average player wacheze kwenye standard za juuukiondoa City msimu uliyopita Arsenal Ndiyo ilikuwa ikicheza mpira wa kuvutia sana unakumbuka ilishika nafasi ya ngapi??
mpira magoli, Liverpool anapress sana lakini huu ni mwaka wa 28 na mwaka wa 3 na nusu wa Klopp bila EPL....JM na mpira wake huo wa hovyo ana EPL 3 sasa