Manchester United (Red Devils) | Special Thread

man united have agreed a deal to sign toby alderweirld but spurs want replacement first.[goal]
 
Mourinho or Unai who is to be sacked by first?.. Put your money where the money is.
 
Hakutotokea Agent Muhuni Duniani Kama Mino Raiola.....
Ni jambaz sana hili jamaa lina wachezaj wake likiamua kuwapigia kampen kuwa ni world class linafanya, linapenda udalali wa kupiga hela ndefu, hiv hapo kashaona pogba kwenda barca yy atavuta mkwanja mrefu tu,
 
Ni jambaz sana hili jamaa lina wachezaj wake likiamua kuwapigia kampen kuwa ni world class linafanya, linapenda udalali wa kupiga hela ndefu, hiv hapo kashaona pogba kwenda barca yy atavuta mkwanja mrefu tu,


Kipindi Hichi Cha World Cup kabla Ya Liverpool Kumnunua Alisson Huyu Mshkaji Alipojua Liverpool Wanatafuta GK basi fasta fasta Aliingia Mzigoni Na Kuanza Kumuigiza Yule Dogo Gianluigi Donnarumma Wa AC Millan Waamini Kuwa Ni World Class ili amuuze Kwa Mkwanja Mrefu kiasi Ya Kwamba Timu Nyingi Zilikwisha Amini. Jamaa Akaipanga bei Yake Kuwa Ni £50m.

Dah! Raiola Akiamua Kumpigia Debe Mchezaji lazima Akupige tu Kiaina.
 
Tulipokuwa tunasema Mourinho siyo kocha ni msimamizi wa mazoezi mlikua mnatupinga sana. Haya sasa bado mnapinga.?
 
Nasoma comments mnavyofarangana hapa ni kicheko tu. Japo kwangu kwangu mambo si mazuri kivile ila huku nako ni janga lingine. Mnachechemea lakini mnataka muonekane ni wazima.

Poleni bhana.
 
Usimamizi wa mazoezi ulianza mwaka wa meisho alipokua Chelsea. Sasa na nyie mkamchukua kama alivyo.
Ya aje asimamie na huku mazoezi kidogo wakati tunatafuta makocha kamili kama nyie cha ajabu huwa lazima akupe kombe
 
Jose mzee wa kusajili vibabu hana lolote zaidi ya kupaki bus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…