Namba 9 hutakiwi kugusa mpira mara mbili. Kazi yake ni kupiga tu golini.
Namba 9(target man) anatakiwa awe na uwezo wa ku hold mpira. Anapopewa pasi anaweza kuwa peke yake hivyo ana hold hadi attacking players wenzie waje anawapa yeye anafunguka tena.Unataka namba 9 anayemiki mpira ili iweje?
Niliwahi kushambuliwa humu na mapovu.Nadhani leo kila mtu kaona UJINGA wa Martial.
Martial n mzur lkn anatakiwa kuingia uwanjan mkiwa mnaongoz hata tatu bila lkn kumuingiza huyu jamaa ukatafute ushindi ni kazi bure mbwembwe nyingi mnooNiliwahi kushambuliwa humu na mapovu.
Tusubiri msimu uishe labda Mou aondoke lakini dogo akibaki basi bench litamhusu sana tu.
Kweli kabisa. Mkiwa mnatafuta ushindi hafai. Nafikiri pia uwezo alioonyesha mwanzoni mwa msimu ulimpa kiburi na kujiona kafika kileleni.Martial n mzur lkn anatakiwa kuingia uwanjan mkiwa mnaongoz hata tatu bila lkn kumuingiza huyu jamaa ukatafute ushindi ni kazi bure mbwembwe nyingi mnoo
Hivi Martial ametokea katika familia ya kishua sana nini?Nadhani leo kila mtu kaona UJINGA wa Martial.
Roho mbaya,utafikiri mchwawi..kakuuwa wapi sasa?Mou katuua..katoka Herera na Lingard wameingia Martial na Fellaini.
Kumbuka aliwahi kuchukulia Ubingwa hapo hapo OTKwaheri Wenger, katika miaka yako 22 kama mwalimu wa Arsenal naamini uwanja mgumu kupata matokeo katika EPL ni Old Trafford.
Ahsante kwa kumbukumbu, Daima utakumbukwa kama mmoja wa makocha bora kuwahi kutokea EPL.