RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,800
- 129,638
19 May bado sanaFainal ya Kombe mbuzi(kwa mujibu wa haters)ndo jumamosi eeeh??? Ohhh God tusaidie tushinde tena, i believe tunanyanyua kwapa tena. GGMU
19 May bado sanaFainal ya Kombe mbuzi(kwa mujibu wa haters)ndo jumamosi eeeh??? Ohhh God tusaidie tushinde tena, i believe tunanyanyua kwapa tena. GGMU
Sijambo mpenzi... Napita kucheki updates tu sina ka tvNimekumithi zaidi yaani kila nikichungulia humu sikuoni,Asante dear nimekaribia,niko poa kabisa wangu,sijui wewe Unaendeleaje?

Ohhh asante19 May bado sana
Umekapeleka wapi au umehonga dear? Maana siku hizi hatujambo hahaha!!!Sijambo mpenzi... Napita kucheki updates tu sina ka tv![]()
Umekapeleka wapi au umehonga dear? Maana siku hizi hatujambo hahaha!!!
Kumbukumbu nyingine sio nzuri kwa matumizi ya hatersView attachment 757063 Mnakumbuka mechi hii iliishaje?
View attachment 757063
Iliisha hivi...View attachment 757143
Kitu kizuri lazima ukirudie na hii naamini tutarudia tenaView attachment 757063 Mnakumbuka mechi hii iliishaje?
View attachment 757063
Iliisha hivi...View attachment 757143

Hivi huyu no 8 mgongoni alikuwa anajitelezesha au ilikuwa ni serious? Manake kuna game huwa nahisi alipiga short back pass akijua drogba lazima ataunasa ile mpira na kufunga. Huwa naamini ile mechi huyo jamaa aliipanga ili man u wasichukue ubingwaHappy Demba Ba day to everybody
View attachment 758194
Jamaa leo wanapumzisha wachezaji kujiaandaa na marudiano na Atletico ndio maana niliweka hii kumbukumbu.Kitu kizuri lazima ukirudie na hii naamini tutarudia tena![]()
![]()
![]()
Hahaa kwakweli leo lazima kieleweke.Jamaa leo wanapumzisha wachezaji kujiaandaa na marudiano na Atletico ndio maana niliweka hii kumbukumbu.
Mourinho anataka ajisifie kafikisha pts nyingi kuliko makocha wengine kwahio muziki wake ni kama fainali.
Chache hivyo.Leo ushindi mapema.
Arsenal anakula mbili bila
Weweee...hawa wamezoea 8 hapa Old Traford.Leo ushindi mapema.
Arsenal anakula mbili bila