Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_6415.JPG

Mhmmm
 
Magazeti yanamchonganisha pogba na Mourinho .
Kabla ya derby Pep alidai dirisha la Jan alifanya attempt ya kumsajili POGBA,baada ya mechi Mou akampiga kijembe kwa kusema anahisi dau la POGBA litakuwa ni kubwa zaidi baada ya kuwapiga zile goli mbili.
 
Kabla ya derby Pep alidai dirisha la Jan alifanya attempt ya kumsajili POGBA,baada ya mechi Mou akampiga kijembe kwa kusema anahisi dau la POGBA litakuwa ni kubwa zaidi baada ya kuwapiga zile goli mbili.


KESI ILIANZA HIVI:

• Mino Raiola alimshambulia Pep Kuwa Alimtendea Vibaya Mcheza Wake Anayemkalia Uwakala Ibrahimovic alipokuwa Barcelona.

• Pep Akamjibu Kwa Kusema "Raiola Alinifata Wakati Wa January Aniuzie Pogba Kutoka Man Unite, Lakini Nilimkatalia Kuwa Hana Thamani Ya Pesa Atakayouziwa.

• Mourinho Akajibu Kwa Kusema "Vita Vya Maneno Vya Pep na Raiola Havinihusu.

Hapa Pana Ukweli Kuwa Raiola Alitaka Kuwasaliti Man United Wakati Wa January Kushawishi Dili la Kumuuza Pogba ili Akunje Mkwanja! Na Hii Ndiyo Sifa Ya Raiola Hata Ferguson anamtambua Vyema.

Next! Sijui Kitaendelea Nini Kati Ya Hawa Watatu....
 
KESI ILIANZA HIVI:

• Mino Raiola alimshambulia Pep Kuwa Alimtendea Vibaya Mcheza Wake Anayemkalia Uwakala Ibrahimovic alipokuwa Barcelona.

• Pep Akamjibu Kwa Kusema "Raiola Alinifata Wakati Wa January Aniuzie Pogba Kutoka Man Unite, Lakini Nilimkatalia Kuwa Hana Thamani Ya Pesa Atakayouziwa.

• Mourinho Akajibu Kwa Kusema "Vita Vya Maneno Vya Pep na Raiola Havinihusu.

Hapa Pana Ukweli Kuwa Raiola Alitaka Kuwasaliti Man United Wakati Wa January Kushawishi Dili la Kumuuza Pogba ili Akunje Mkwanja! Na Hii Ndiyo Sifa Ya Raiola Hata Ferguson anamtambua Vyema.

Next! Sijui Kitaendelea Nini Kati Ya Hawa Watatu....
Mau akimpenda mchezaji atajitahidi kumfanya kila mtu ampende (kumpa chances,kumkingia kifua ndani na nje ya uwanja)mfano,fellain.
Nafikiri Mau bado anampenda POGBA ingawa lolote linaweza kutokea.
 
sote Liverpool Tunaelewa Tokea Mwanzo Wa Msimu Kuwa Hatuna Uwezo Wa Hata Kumpita Spurs tukakamata Nafasi Ya Tatu achiliambali Man U.
Nadhani Ni [HASHTAG]#Malafyale[/HASHTAG] peke Yake Ndiye Mwenye Ndoto ya Kumaliza Nafasi ya Pili Msimu Huu.
Hamna uwezo wa kumpita hata spurs ila mna uwezo wa kuchukua uefa?

Hivi nyie vikongwe mna matatizo gani lakini ?
 
KESI ILIANZA HIVI:


Hapa Pana Ukweli Kuwa Raiola Alitaka Kuwasaliti Man United Wakati Wa January Kushawishi Dili la Kumuuza Pogba ili Akunje Mkwanja! .
We ukiwa kama nani unatudhibitishia hapa kwamba ni kweli? Mourinho mwenyewe alisema hajui ila someone from somewhere madongo kuinuka huko anakuja kutuambia kuwa ni kweli,
 
Manchester United wana matumani ya kuwaadhibu zaidi mahasimu wao Manchester City kwa kusaini mkataba na Shakhtar Donetsk na mchezaji wa safu ya kati wa Brazil Fred, 25, mwisho wa msimu. (Mirror)

Mkuu wa zamani wa waamuzi England Keith Hackett haelewi ni kwa nini Martin Atkinson hakumfukuza wuanjani beki wa Manchester United Ashley Young wakati wa mechi yao dhidi ya Manchester City. Amesema vitendo vya Atkinson ni thibitisho tosha ya kuonesha ni kwa nini waamuzi wa England waliachwa nje ya michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu. (Telegraph)

Manchester United pia walikataa ombi kutoka kwa Liverpool wa kutumia uwanja wao wa timu ya wachezaji chipukizi. (Telegraph)

Meneja wa Manchester City Pep Guardiola amesema huenda ndiye anayefaa kulaumiwa kwa klabu hiyo kulazwa na Liverpool na Manchester United. Hata hivyo amesema kutomakinika mbele ya lango kuna maana kwamba timu hiyo bado haijatosha kushindana katika ligi kuu bara Ulaya. (Times)

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho anasema Pep Guardiola alidai Manchester City walipewa nafasi ya kumsajili Paul Pogba mwezi Januari kulipiza kisasi dhidi ya ajenti wake Mfaransa Mino Raiola. (Mirror)

Mourinho alionekana kugongwa na sarafu ya pauni iliyotupwa kutoka kwenye umati wa mashabiki wakati wa mechi ambayo Manchester United walishinda dhidi ya Manchester City Jumamosi, lakini Mreno huyo hakuripoti tukio hilo. (Star)

Liverpool wameandaa mkataba wa miaka mitatu kwa ajili ya mchezaji wa safu ya kati wa Manchester United Mbelgiji Marouane Fellaini, huku Paris St-Germain na Monaco pia wakionyesha kumtaka kijana huyo mwenye umri wa miaka 30 ambaye mkataba wake katika Old Trafford unamalizika mwisho wa msimu. (L'Equipe -kwa Kifaransa)
 
Hamna uwezo wa kumpita hata spurs ila mna uwezo wa kuchukua uefa?

Hivi nyie vikongwe mna matatizo gani lakini ?


Ndiyo Tunaweza Kubeba [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] Kwasababu UEFA CL Ni Game of Chance ! If You Know What I mean.

But Kwenye [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] huhitajiki Kumfunga Mtu ili umpite! Ni Lazima Ufunge Wengine ili umpite Mwengine.
That is why nikaconfess Kuwa "Hatuna uwezo Wa Kumpita Spurs".

Lakini Kwenye UCL unayemfunga ndiye Unayempita! Ndiyo Mana Nikakwambia Ni "GAME OF CHANCE"... muhimu uwe unajua Kumuotea vizuri tu mpinzani Wako.

MY TAKE: Kusema Tunaweza Kubeba UCL Haimaanishi Kuwa Ndiyo Tunasema Lazima Tutabeba UCL! (Tunaweza = Possibility tu.) Huenda ikawa au isiwe.
 
Liverpool kamfunga manchester city kisha manchester united kawatandika wote wawili walitaka kutengeneza ecosystem sisi tukakataa huo mchezo tafuna wote wawili.


😀😀😀 Yani Tokea Msimu Huu Wa 2017/18 uanze Sijawahi Kuwaona Mumefurahi Zaidi Kuliko Mara Hii Kumfunga City Kiasi Ya Kwamba Hata Mulipotufunga sisi Mulikuwa Active si Zaidi ya 24hrs. Lakini Naona Ushindi Wa City Mumeshatengeneza Madocumentary Kibao! Nini hasa siri ya Furaha Ya Ushindi Wenu huu? 😀
 
Liverpool kamfunga manchester city kisha manchester united kawatandika wote wawili walitaka kutengeneza ecosystem sisi tukakataa huo mchezo tafuna wote wawili.


Ushindi Wenu Wa Juzi Umeleta Faida 3:

1) Zile Sifa Zote Za Man City Kupewa Promo Kuwa Ndiyo Kikosi Bora Cha Miaka Yote [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG], Na Zile Sifa Zote Za Guardiola Kuwa Kaja Kuiumbua na Kufundisha Mpira [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG], Vyote Hivyo Vimetoweka Kwa Mechi Ya Juzi Mulipomfunga.
Sasahivi Guardiola Anaonekana Kama Mtu aliyeishiwa Mbinu.
Na Arsenal Ya 2003/04 na Chelsea ya 2004/05 zinaonekana Bora Kuliko Man City Hii.

2) Kuwafunga Man City Mumetusaidia Kwa Kiasi Kikubwa Kuwaondoshea Confidence Man City Zidi ya Mchezo wetu Wa Leo.
Wanaweza Kutufunga Of course Lakini Utata Upo Je Wanayoconfidence ya Kututoa Kwa Kutufunga 4 - 0 ?

3) Mumewabainishia Kuwa Licha Ya Kutumia Mamia Ya Mamilioni ya £ lakini Defence Yao Bado Ni Uchochoro.
 
Liverpool kamfunga manchester city kisha manchester united kawatandika wote wawili walitaka kutengeneza ecosystem sisi tukakataa huo mchezo tafuna wote wawili.


√ Last Season ilikuwa Ni Zamu Yangu Kutandika Vigogo Wa Top 6.

√ This Season Ni Zamu Ya Man City na Wewe Kutandika Vigogo Wa Top 6.

√ Next Season Ni Zamu Ya Arsenal Kutandika Vigogo Wa Top 6.
 
😀😀😀 Yani Tokea Msimu Huu Wa 2017/18 uanze Sijawahi Kuwaona Mumefurahi Zaidi Kuliko Mara Hii Kumfunga City Kiasi Ya Kwamba Hata Mulipotufunga sisi Mulikuwa Active si Zaidi ya 24hrs. Lakini Naona Ushindi Wa City Mumeshatengeneza Madocumentary Kibao! Nini hasa siri ya Furaha Ya Ushindi Wenu huu? 😀

Katika rekod king ngwaba za hapa karibun city anafungwa sana na united nyumban kwake nae city huwa anabahat ya kushinda old trafford binafs sikuona kipya ktk misimu mitatu city kapigwa mech mbili kwake suluh moja
 
Ushindi Wenu Wa Juzi Umeleta Faida 3:

1) Zile Sifa Zote Za Man City Kupewa Promo Kuwa Ndiyo Kikosi Bora Cha Miaka Yote [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG], Na Zile Sifa Zote Za Guardiola Kuwa Kaja Kuiumbua na Kufundisha Mpira [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG], Vyote Hivyo Vimetoweka Kwa Mechi Ya Juzi Mulipomfunga.
Sasahivi Guardiola Anaonekana Kama Mtu aliyeishiwa Mbinu.
Na Arsenal Ya 2003/04 na Chelsea ya 2004/05 zinaonekana Bora Kuliko Man City Hii.

2) Kuwafunga Man City Mumetusaidia Kwa Kiasi Kikubwa Kuwaondoshea Confidence Man City Zidi ya Mchezo wetu Wa Leo.
Wanaweza Kutufunga Of course Lakini Utata Upo Je Wanayoconfidence ya Kututoa Kwa Kutufunga 4 - 0 ?

3) Mumewabainishia Kuwa Licha Ya Kutumia Mamia Ya Mamilioni ya £ lakini Defence Yao Bado Ni Uchochoro.

Binafsi city siamin kama atamfunga liverpool ntakuwa tomaso had mwisho.
 
Back
Top Bottom