Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
tafadhali mkuu kwa van gaal hakuna timu kubwa iliotusumbua. huyu city alikuwa anapigwa nyingi nyingi tu, mechi 4 lvg alizocheza na city alipoteza 1 tu tena mwanzo mwanzo ndo anakuja smalling mapema tu alikula umeme wakatufunga 1-0, baada ya hapo walichezea vichapo tu, kuna mechi tuliwafunga 4 fellaini akitupia mbili na kuna mechi rashford ndio kinda anaanza ligi aliwafunga arsenal na man city mfululizo.Miaka ya hivi karibuni United imekua ni underdog kwa city, sio kipindi cha mourinho tu, van gaal, moyes hata Ferguson mwenyewe huku mwishoni city alikua akimsumbua sana.
Mbinu za mourinho ni kukupa makombe kama unataka entertainment basi WWE is better for you. Mechi hata bado haijachezwa watu mshaanza kulalamika sababu ya walichofanya livapuli jana, what the fvck??????????
Mourinho hajawahi fungwa home and away na kocha mmoja and am sure haitatokea kwa msimu huu.