madhara ya kupaki bus mechi ya kwanza yametucost ! valencia mtupu...sahv...! huwezi ukawaacha pogba na mata kwenye game kubwa ukiwategemea watoto lingard na rashford ! na young ndo msnge kabisa huwezi kum2mia ukitaka timu ishambulie...
Leo lawama zangu zote kwa kocha tumepoteza hii game kwa ujinga wake hakukuwa na sababu ya kumuingiza pogba sana sana alipaswa atoke Sanchez aingie martial/mata
Hivi uliangali mechi kweli wewe kipindi cha kwanza chote tulizidiwa ball possession na sevilla, tulikuja kuwazidi baada ya wao kupata goli la kwanza which was too late.
Poleni ila tantarira nyingi sana ndiyo tatizo lenu,kesho dunia kimya maana mtakuwa mnatembea vichwa chini. Na kama Pep akiendelea kuwepo mjini makombe msahau misimu yote.