Kipindi cha kwanza kweli Man U wametumia vizuri sana nafasi walizopata, Salah haonekani kabisa.....mpira hauna adabu , hauna cha kukalili ukadhani kila game litakuwa kama la jana.
Asante sana.
Pole Manga ML ndiyo tunachemsha maji ya kuwanyonyoa.
Nitafanyaje sasa hata nisipowatafuna wengine watawatafuna hivyo acha na Mimi niwanywe supu
Asante sana.
Pole Manga ML ndiyo tunachemsha maji ya kuwanyonyoa.
Nitafanyaje sasa hata nisipowatafuna wengine watawatafuna hivyo acha na Mimi niwanywe supu