Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Naona Amani imetawala humu Ndani
Tatizo lenu ndo hilo. Watu leo mnapigwa alafu wew unaona ushindi mkubwa. Pole yako jani yangu.Ninauona ushindi mkubwa sana leo...manchester united
Amani ya mungu mkuuWakuu naomba niwasalimu kabla ya mechi
naomba mwenye link ya livestream atupie Man U vs LiverpoolEti mournho sio kocha aje pochetino toka aichukue spurs Hanna kombe sifa kubwa anapiga Pasi na kushambilia
Acheni jamani mwaka Jana katolewa na gent Europa kila mwaka anasulubiwa uefa spurs inahitaj kocha mzoef kama mou kocha mdogo timu inawachezaji waliokomaa kushinda mataji