ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,491
- 2,477
Huyu Kijana ni azina kubwa sanaMcTommy anatoa balance ya timu mpaka raha..this boy is so amazing aissee
Anafanya things to look so easy kwenye midfield
Huyu Kijana ni azina kubwa sanaMcTommy anatoa balance ya timu mpaka raha..this boy is so amazing aissee
Anafanya things to look so easy kwenye midfield
Hahahahahaha🙂🙂🙂hahhhhahahahh
a short release of Federal Bureau Investigation FBI
wameenda kutafuta mashine za kukamulia juisi ya miwa ili ziwasaidie kuminya ma ***Kuna watu wanapendaga sana kushinda kwenye hili jukwaa leo hawaonekani hapa
GGMU
Najuwa Mourinho anakera na tabia zake za kihuni, ila yuko very tactical aise, hapo namvulia kofia, na ndio maana kazi kwake sio shida kabisa, ni jambazi zuri kwenda nalo kwenye vita, lina game plan za kufa mtu..Hawakutegemea kabisa hii game plan...tunafanya interceptions za maana...tumeshika Mane, Flemino na Salah...afu huku Rukaku anamsumbua Loveren na long balls...
Nadhani kipindi cha pili watakuja na plan B otherwise tuwanywa nyingi tu za counter attack...hapa inabidi tuwagonge cha tatu ndani ya dk 15 za kwanza za kipindi cha pili kabla akili zao hazijakaa sawa
Itakuwa wamashachana mkeka!!Hawa liva ni takataka kabisa
Eric baily anarudisha moja..Waziri wa mambo ya ndani, ndugu Eric baily anahakikisha hakuna maandamano yoyote kuelekea Ikulu kwa De gea