Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwalimu Kashasha unazungumziaje goli la Matic, ee unajua Enock kile alichofanya Mata ni kupiga Chopping commitment pass kwa kitaalamu tunaziita, pasi za mchomo kwenye Traditional level penetration grid.. mara nyingi zinakua na Shipping Cost CIF.. Sasa kilichofata kwa Matic ni kupiga Diagnosis perfect thunderstorm kick, ile hata goli kipa wawe mia golini hawawezi kudaka.. Kwako Enock

 
Mwalimu Kashasha unazungumziaje goli la Matic, ee unajua Enock kile alichofanya Mata ni kupiga Chopping commitment pass kwa kitaalamu tunaziita, pasi za mchomo kwenye Traditional level penetration grid.. mara nyingi zinakua na Shipping Cost CIF.. Sasa kilichofata kwa Matic ni kupiga Diagnosis perfect thunderstorm kick, ile hata goli kipa wawe mia golini hawawezi kudaka.. Kwako Enock

Ha ha ha ha Mwalimu kashasha ametisha duuh goli lina CIF na FOB
 
Mwalimu Kashasha unazungumziaje goli la Matic, ee unajua Enock kile alichofanya Mata ni kupiga Chopping commitment pass kwa kitaalamu tunaziita, pasi za mchomo kwenye Traditional level penetration grid.. mara nyingi zinakua na Shipping Cost CIF.. Sasa kilichofata kwa Matic ni kupiga Diagnosis perfect thunderstorm kick, ile hata goli kipa wawe mia golini hawawezi kudaka.. Kwako Enock

Mimi nimeona tofauti au nilikuwa nasinzia?!!! Pogba alipiga shuti likambabatiza beki, mpira ukaangukia kwa Matic ndio akatuliza na kupiga. Sasa Mata anaingiaje hapo?
 
Nani anatakiwa awe kocha mbadala?
Man utd sasa hivi mechi 29 wana points 62 wameshinda mechi 19.
Msimu uliopita man utd kamaliza na points 69 na alishinda mechi 18.

Kwahio bado mechi tisa Man utd kashazidi idadi ya mechi alizoshinda msimu mzima uliopita na yuko nafasi ya pili, bado kuna watu wanasema Mou hafai afadhali ya Klopp, huyo Klopp timu yake iko nafasi ya ngapi na points ngapi?
 
Liverpool wenye Klopp wako wapi mwaka wa tatu huu?!! Au Liverpool ina wachezaji wabovu.


napenda mpira wao wa kasi mkuu. Nadhani Man U wangekuwa wanashambulia kama Liverpool ingekuwa mbali sana mkuu. Wacheza wapo wengi tu pale Man wa kiwango cha kufanya hivyo ila tatizo kocha
 
nakumbuka ile match na chelsea alivyotoa assist ya goli kwa lingz
jamaa alishangilia sana kuliko mfungaji mwenyewe
Lukaku ni mpambanaji sana hata akisimama peke ake mbele muangalie mipira ya juu anavyo mdondoshea martial hata Sanchez Jana ufup wake tu kakosa goli alianguashiwa Mpira na lukaku kipind cha kwanza
 
Lukaku ni mpambanaji sana hata akisimama peke take mbele muangalie mipira ya juu anavyo mdondoshea martial hata Sanchez Jana ufup wake tu kakosa goli alianguashia Moira na lukaku kipind cha kwanza
Lile bao lake alianza kuchekecha kama dereva wa Leyland Austin anavyozitafuta gia. Tutakaa vizuri tu game ya jana ilikuwa na kujituma na kupigana mpaka dakika ya mwisho (fergie time. )
 
Kwasasa wapenzi wa Manchester United tukubali matokeo yoyote yale tunayoyapata, ila mwakani ndio tuanze kumsurubu kocha kwa matokea mabaya, niushauri wangu tu.
 
napenda mpira wao wa kasi mkuu. Nadhani Man U wangekuwa wanashambulia kama Liverpool ingekuwa mbali sana mkuu. Wacheza wapo wengi tu pale Man wa kiwango cha kufanya hivyo ila tatizo kocha
End justifies the means. So far hio kasi ya mpira wao kwa miaka mitatu ya Klopp haijasaidia chochote zaidi ya sifa za hapa na pale, yaani leo unamfunga mtu 4-0 kila mtu anasema Liverpool kiboko lakini matokeo ya msimu hamna mafanikio yoyote.
Wakati kwa upande wa Mou 'he parks the bus' na kufunga magoli sawa na hao wasiopaki bus....na ana vikombe kadhaa kwa kupaki basi.

Hata mimi kuna kipindi nakerwa na Mou ila overall timu ime-improve kulinganisha na tulipokuwa na Moyes,LVG.
 
Back
Top Bottom