Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kujikomboa ndo nini...nachojua tumeondoka na point 3 zinazotambulika na FIFA

"Kutangulia sio kufika"
Nakwambia je kama co
Sabu ya mata na rashford nyie
Hata draw msinge pata
 
Sielewi ila nafsi yangu ilikuwa baridi sana sikuwa na khofu yoyote yaani kama nilikuwa nayaona magoli. Kiukweli game ilikuwa ngumu vijana wameupiga mwingi. Mou kafanya sub ya akili sana.
 
Nakwambia je kama co
Sabu ya mata na rashford nyie
Hata draw msinge pata
Kama kawaida maneno ya wakosaji hayakosekanagi ..."kama sio " kama sio zinakua nyingi bila sababu....
Maana ya substitute players ni nini...basi ndo kazi zake hizo...
 
Kila siku nasema Mou ni Tatizo kubwa Man U mnapinga kisa kamfunga Chelsea Juzi sina imani na Mou na hata matokeo ya hivi asilimia kubwa yanachangiwa na uwepo wake.

Lazima tukubali muda wake kama mkufunzi wa soka umeisha, Siku akitoka Mou nitaanza kuona Man U mpya.
Mzee kuwa na subira achana na kocha kafukuza bek zote halafu this motumeshinda mourinho hatar sana
 

Mshukuru tu sabu ya mata na
Rashford ndo imewapa ushind
Sasa tuwashukuru kwani hao ni wachezaji kutoka mtibwa? Hao ni wachezaji wa Manchester united na wanalipwa mshahara kwa kuichezea hii timu. Kutokea benchi sio tatizo maana wachezaji hawawezi kucheza wote at the same time.

Hahahaha oyoooooooooo nimefurahi sana baada ya kuboreka kipindi cha kwanza.
 
Kama kawaida maneno ya wakosaji hayakosekanagi ..."kama sio " kama sio zinakua nyingi bila sababu....
Maana ya substitute players ni nini...basi ndo kazi zake hizo...
Mashabik mnaz mnajulikana tu
 
Next game ni vs Liverpool.
Attack attack attack.. Sasa nalala nikiwa na amani moyoni
GGMU
 
Back
Top Bottom