Hana mchango mpaka sasa dakika ya 14 beki Young kashapanda na kupiga krosi mbili (ingawa zilikuwa mbovu) yeye yuko pale kama winga anarukaruka tu hajafanya chochote Beki anatoka nyuma anakuja kumpiku!!!
Mkuu achana na hiyo..sasa ameingia Lingard badala yale subiri uone mpira wa maana. Dogo kama amefungwa boda boda miguuni. Utamuona huku nyuma eneo la Young anakaba na kuchukua mipira halafu muda huo huo utamuona anaambana kule mbele kufunga goli. Mchezaji wako yule mzito sana(Lazy).