Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa mkuu
 
Ila Chelsea hawana beki wala forward ...viungo wao ndo msaada wao....ko mourinho inabidi awe makini pale kati....
Chelsea hawana beki!? Duh!
Kuna beki amecheza mpira zaidi ya Azpillocueta msimu huu pale EPL? Rudigar waweza kumlinganisha na Ashel Young? Christensen anazidiwa na beki yupi wa kati pale Man U?
 
Chelsea hawana beki!? Duh!
Kuna beki amecheza mpira zaidi ya Azpillocueta msimu huu pale EPL? Rudigar waweza kumlinganisha na Ashel Young? Christensen anazidiwa na beki yupi wa kati pale Man U?


Mkuu Leo utaukimbia Uzi Wa Man U manake huenda Wakakufanya Kitu Mbaya sana!
 
Nimefurahi kumuona Scot Mctominay amsaidie pogba humor ndani. Naamini kama tukienda na approach ya Ku attack tutashinda
 

Attachments

  • Screenshot_20180225-160833.png
    17.7 KB · Views: 47
Nimefurahi kumuona Scot Mctominay amsaidie pogba humor ndani. Naamini kama tukienda na approach ya Ku attack tutashinda
hamna ki2 hapo ! huyo young,smalling na martial kutokea kulia watazingua sn
 
Wakuu habari zenu naona mmetulizana hapa mnapanga kuweka basi na kumtumia mshambuliaji wenu de gea maana kila saa anasikika yeye tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…