Nilikugonga darajani. Ukagongwa na Bristol na Huddlesfield. Ukaja kushinda kwa Arsenal. Mechi unayoweza kukamia ni ya Arsenal peke ake.?ulimgonga watifodi na bonamausi sio? mech unayoweza kukamia ni ya baca.
Kama wewe ni shabiki wa mpira unajua kitu kinaitwa experience. Goli tulilofungwa ni uzembe wa beki ambaye hana uzoefu na michuano hii, kwa iyo anakua anacheza kwa presha mihemko.
Pitieni comments zangu za nyuma humu ndani kuhusu team yetu. Nilionesha wazi wazi kuwa mourinho hana uwezo wa kuipeleka hii team tunapopataka ila nilishambuliwa sana na Radika na wenzake.
Niliegemea zaidi kwenye mbinu za mourinho dhidi ya soka la kisasa. Soka la kisasa halihitaji kucheza kwa kujihami. Soka la kisasa kujihami ni wewe kushambulia ili team pinzani wasije golini kwako na sio kupack bus unawaruhusu maadui kuja golini kwako kila muda, hiyo ndio Njia ya kisasa na aina ya uchezaji wa kisasa.
Team yetu sasa hivi imekuwa ikishinda watu haturidhiki kwa sababu ya kiwango kibovu. Ikifungwa pia haturidhiki.
Niliwahi kusema humu na ninaomba mpitie tena muone kwamba chini ya Mourinho wachezaji wengi wataonekana wa hovyo licha ya kuwa wachezaji wazuri hapo awali ... Nilisema micktaryan ( Bahati nzuri tayari tumepata ushahidi kumechotokea). Nilimtaja Pogba ( Tunaanza kuona ), anaefuatia ni Lukaku. Na wengine wengi.
Huwezi kuniambia wachezaji wote hawa kiwango chao kimeanguka kwa sababu za uwezo wao binafsi kushindwa kulisakata Kabumbu. No. Sababu ni Mourinho. Nikipata muda nitakuja kuezelea sababu za kiufundi kwa nini lundo la wachezaji wa team yetu viwango vyao vimeonekana kuwa domant kwa mbinu za kipuuzi za Mourinho. Leo tunamlaumu Lukaku ,niwaulize swali hivi Jana usiku striker Wetu Jana mfumo wa kiuchezaji wa team umemtengenezea Nafasi ngapi ???? Wote tuliona Nafasi walizotengeneza sevila na De gea kuokoa ,Je, Nafasi nyingi vile Kama zingekuwa kwa upande wa Manchester united tungeshindwa kweli kufunga . Siri ya mpira na kufunga magoli ni kutengeneza Nafasi nyingi. Nafasi chache unajipa Nafasi ndogo ya kufunga magoli. Kwa aina ya uchezani Wetu wa kujihami team haitengenezi Nafasi tutafungaje ????
Narudia tena Mourinho hafai hafai hafai .... Atatuharibia wachezaji viwango
Nawakumbusha tu, hivi ni lini mwisho team yetu ilifunga goli la kona
Kwani ugomvi!!!????nani Manure??
Kama wewe ni shabiki wa mpira unajua kitu kinaitwa experience. Goli tulilofungwa ni uzembe wa beki ambaye hana uzoefu na michuano hii, kwa iyo anakua anacheza kwa presha mihemko.
Kiuchezaji Barca alikua anakaa, game plan ilikua inahitaji kucheza vile. Ukifunguka unagongwa za kutosha na ndicho kinacho waponza Arsenal, huwa wanataka kucheza kama Barca ilihali hawana wachezaji kaliba ya Barcelona mwisho wa siku wanaishia kugongwa 4.
Tukutane weekend. Hapohapo kwenu. Muone huyo msimamizi wenu wa mazoezi atakavyo panic
Kwani hukupigwa old traford? Kocha wako mech za ugenini ni mbovu nakubutua asilimia 900Nilikugonga darajani. Ukagongwa na Bristol na Huddlesfield. Ukaja kushinda kwa Arsenal. Mechi unayoweza kukamia ni ya Arsenal peke ake.?
Nadhani maandishi yanakubaliana na nilicho kiandika. Ila unajaribu kuwa tofautiUmeandika nini au hujui mpira ni mchezovwa makosa ukizembea unatunguliwa ipo hivyo huyo bek si kocha wako alimwamin kwan hakujua kama hana uzoef
Unajifariji kupitia weakness za jirani......hahahaha timu yako kwasasa kimeo mkuu licha ya wachezaji ghali mlionao so jiandaeni kisaikolojia ..........Kocha wako wenger ana makombe mangap na hizo takwimu
Jana barcelona kaupigwa mwingi goli anakoswa yeye kuna muda hayo hayana maana
Kama wewe mia 9. Mi ni 1000. Kaa hapohapo weekend hii hapaKwani hukupigwa old traford? Kocha wako mech za ugenini ni mbovu nakubutua asilimia 900
Matokeo ya suluhu ya barca nao chelsea wanajiona wanatimu wakat mnamkamiaga baca
Hizo mbwembwe zako za tukutane wik end bwana mdogo futa unachezea kipigo kama kawaida uwe unaomba mechi zote za lig muwe mnacheza na barcelona mkipata suluhu mmefufukaKama wewe ni shabiki wa mpira unajua kitu kinaitwa experience. Goli tulilofungwa ni uzembe wa beki ambaye hana uzoefu na michuano hii, kwa iyo anakua anacheza kwa presha mihemko.
Kiuchezaji Barca alikua anakaa, game plan ilikua inahitaji kucheza vile. Ukifunguka unagongwa za kutosha na ndicho kinacho waponza Arsenal, huwa wanataka kucheza kama Barca ilihali hawana wachezaji kaliba ya Barcelona mwisho wa siku wanaishia kugongwa 4.
Tukutane weekend. Hapohapo kwenu. Muone huyo msimamizi wenu wa mazoezi atakavyo panic
Droo ya baca imekufukua wewe bado sana unapigwa pale na ukienda kwa city kichapo bahat yako wenger umemalizana nae angekutia goli za kutosha.Kama wewe mia 9. Mi ni 1000. Kaa hapohapo weekend hii hapa
Eti nachezea kama kawaida. Sasa kawaida ipi labda unayoizungumzia.? Sisi wote ni wabovu ila siwezi kunyanyaswa na wewe. Nakupiga nje ndani yan kama chapati unaiva kotekote.Hizo mbwembwe zako za tukutane wik end bwana mdogo futa unachezea kipigo kama kawaida uwe unaomba mechi zote za lig muwe mnacheza na barcelona mkipata suluhu mmefufuka
Arsenal vipi nayo? Mi sijifariji nafaham chelsea hana chake old traford kama wewe mnavyokufumuagaUnajifariji kupitia weakness za jirani......hahahaha timu yako kwasasa kimeo mkuu licha ya wachezaji ghali mlionao so jiandaeni kisaikolojia ..........
Kwani top 4 wewe ni lazima kwako?????mboni last season hukuwa ndani ya top4? Ulikuwa top 10....Kuna muda maandazi unaweza kuwa wewe gemu nyepesi ya sevilla ambayo ina marudiano kwa nn uhatarishe wachezaj?
Mech inayofuata ya chelsea apigwe nyumbani? Ukipigwa top 4 ipo rehen unafikir gem plan ya leo kocha kakurupuka?
Huyo City ukimuongelea hata wewe bado hujacheza naye.Droo ya baca imekufukua wewe bado sana unapigwa pale na ukienda kwa city kichapo bahat yako wenger umemalizana nae angekutia goli za kutosha.
Wanamtegea daaaahhh masikini weeeeh
Ndoto za mchana nje ndani iyo vipi au umesahau kile kichapo cha 2-0 kwa sasa chelsea hainipi homa timu ni city na liverpool tu wakikuamulia wanakusaka kweli wewe chelsea mgonjwaEti nachezea kama kawaida. Sasa kawaida ipi labda unayoizungumzia.? Sisi wote ni wabovu ila siwezi kunyanyaswa na wewe. Nakupiga nje ndani yan kama chapati unaiva kotekote.