Ninachoshangaa hata kupaki basi pia hatuwezi....Muda wote kipa anatoa michomo sipati picha wangekua wanapata nafasi za kushoot watu na akili zao,tungepaki basi na bado tungefungwa 10-0
Basi hapa kocha hatuna Afukuzwe tuMara nyingi kama sio zote, sisi washabiki furaha yetu huwa ni kuona timu inacheza vizuri na kushinda vikombe. Na hata inapotokea Mara chache timu ikafungwa basi angalau tutiwe moyo na kiwango tulichokiona. Kuna ndugu humu aliwahi kukwambia kuongezewa mkataba haimaanishi huwezi kufukuzwa. Na suala hilo hilo LA mkataba mbona hata Wenger anaongezewa tu mkataba japo timu haishindi vikombe vya maana? Ukiangalia utagundua yeye anainufaisha bodi ya timu kwa kuiingizia arsenal mapato mengi hasa anapoiingizaga timu top 4 Mara nyingi. Je ni fahari kwa mashabiki Wa arsenal kutamba, kujinadi na kujivunia arsene Wenger pamoja na mafanikio hafifu ya timu yao ktk kuchukua vikombe? Mara ngapi washabiki Wa arsenal pale London tena wanaolipa viingilio vyao wanaandamana jamaa aondoke?
chelsea vs atletico madrid kipindi kile mou akiwa chelsea alifanya upuuzi huu huu wa kutafuta droo ya bilabila ugenini kilichomtokea pale darajani hakuamini.Itakuwa ni vizuri zaidi kama ikitokea tutatoka sare, iwe sare ya magoli (1-1, 2-2, 3-3)
Sare ya 0 - 0 ina changamoto sana, kwani Sevilla wakifunga goli 1 ndani ya Old Traford itabidi Utd tushinde hiyo mechi ili tuweze kufuzu
Ila itakuwa ni vizuri zaidi kama tutaweza kushinda mechi hii ya leo
mkuu,hii ndio timu yetu,hiki ndicho tulichonacho,kama ni mtoto ni mtoto flani hivi dunya kwelikweli,kwa vile ni mtoto wako na ni dunya utamtupa?au unadhani mzazi akiwa na mtoto dunya hajui kama mwanae ni dunya??soo jana toto dunya limetoka kitaa limekuja na kilo ya mchele inabidi nifurahi tu,usidhani mwanangu dunya anapoleta kilo ya mchele sioni watoto wa wengine smart wanavyowajengea wazazi wao majumba!!ni kweli ligi ya mabingwa ni ligi kubwa sana na unapaswa kuwa na tactics zenye kuleta mafanikio, lakini fahamu ya kwamba wakati sisi tunawaza kwenda kumaliza shughuli old trafford wenzetu manchester city, liverpool na hata tottenham hotspurs wameshamaliza shughuli ugenini. maisha yote ukweli ndio utakao tuweka huru ila inashangaza wapenzi wengi wa manchester united ukweli hatuupendi.
timu inacheza ovyo sana mpaka inafika wakati unajiuliza kama wachezaji wanafanya mazoezi
,ni aibu na fedheha wacha tu wapiga kelele (wapinzani uchwara) waendelee kutukejeli na kututukana ndani ya thread hii na nje ya JF.
Tulishaongea saana hili sualaPitieni comments zangu za nyuma humu ndani kuhusu team yetu. Nilionesha wazi wazi kuwa mourinho hana uwezo wa kuipeleka hii team tunapopataka ila nilishambuliwa sana na Radika na wenzake.
Niliegemea zaidi kwenye mbinu za mourinho dhidi ya soka la kisasa. Soka la kisasa halihitaji kucheza kwa kujihami. Soka la kisasa kujihami ni wewe kushambulia ili team pinzani wasije golini kwako na sio kupack bus unawaruhusu maadui kuja golini kwako kila muda, hiyo ndio Njia ya kisasa na aina ya uchezaji wa kisasa.
Team yetu sasa hivi imekuwa ikishinda watu haturidhiki kwa sababu ya kiwango kibovu. Ikifungwa pia haturidhiki.
Niliwahi kusema humu na ninaomba mpitie tena muone kwamba chini ya Mourinho wachezaji wengi wataonekana wa hovyo licha ya kuwa wachezaji wazuri hapo awali ... Nilisema micktaryan ( Bahati nzuri tayari tumepata ushahidi kumechotokea). Nilimtaja Pogba ( Tunaanza kuona ), anaefuatia ni Lukaku. Na wengine wengi.
Huwezi kuniambia wachezaji wote hawa kiwango chao kimeanguka kwa sababu za uwezo wao binafsi kushindwa kulisakata Kabumbu. No. Sababu ni Mourinho. Nikipata muda nitakuja kuezelea sababu za kiufundi kwa nini lundo la wachezaji wa team yetu viwango vyao vimeonekana kuwa domant kwa mbinu za kipuuzi za Mourinho. Leo tunamlaumu Lukaku ,niwaulize swali hivi Jana usiku striker Wetu Jana mfumo wa kiuchezaji wa team umemtengenezea Nafasi ngapi ???? Wote tuliona Nafasi walizotengeneza sevila na De gea kuokoa ,Je, Nafasi nyingi vile Kama zingekuwa kwa upande wa Manchester united tungeshindwa kweli kufunga . Siri ya mpira na kufunga magoli ni kutengeneza Nafasi nyingi. Nafasi chache unajipa Nafasi ndogo ya kufunga magoli. Kwa aina ya uchezani Wetu wa kujihami team haitengenezi Nafasi tutafungaje ????
Narudia tena Mourinho hafai hafai hafai .... Atatuharibia wachezaji viwango
Nawakumbusha tu, hivi ni lini mwisho team yetu ilifunga goli la kona
hivi tukivuka hapa inachezeshwa draw tena au tunajua tunaenda kukutana na mshindi kati ya nani na nani??
kwanini unamchukia kiasi hiki the golden boy martial?? tatzo nini kaka??
Ndiyo Draw inchezeshwa na Utakutana Na Mshindi wa Kati ya Michezo Hii Mitatu:
• Roma/Shakhtar Donetsk
• Bayern/Besiktas
• Barca/Chelsea
Hii Ni Probability tu, Do not take it seriously!
Hapa pa van gal nimekuelewa japo nae alikuwa mtata alichokuwa ananikera wachezaj wanaanza kuumia mazoezin had mkifika siku ya mech academy yote imeitwa kusaidiaunajua watu wengi hawajui kitu kimoja,man utd huwa inapata shida sana kucheza na timu inayomiliki mpira,hii ni siku zote.Team pekee inayomiliki mpira halafu inafungwa na Man Utd ni Arsenal tu,hivyo mimi nikiona tu Man Utd inacheza na timu inayomiliki mpira huwa najua shughuli pevu siku hiyo!!Katika timu zilizobakia Man Utd itacheza balanced games na Roma,Chelsea na Liverpool tu!!!Zingine zote Barca,bayern,City,Madrid,Sevilla hata Shakhtar tutapata shida sana!!!Sijui kwanini hatunaga mbinu za kuvunja mbinu za timu pinzani kumiliki mpira,nadhani falsafa ya club ndio shida!!Van Gaal nilimuelewa alikuwa amekuja kubadilisha falsafa ya club kama alivyofanya Johan Cluyff kule Barcelona tatizo tulikuwa na haraka sana na kutaka matokeo makubwa haraka!!
Kati tu ila angekuwa van gal ningekwambia point 3 timu kubwa aliishindwa chelsea tuGame yenu na Liverpool itakuwaje