siku hizi watu waoga sana,zamani mchezaji tegemeo uko uwanjani anakuja mama yako anakutuma dukani gemu inaendelea timu yako ikiwa pungufu mpaka unarudi toka dukani unandelea na namba yako,siku hizi mchezaji akichechemea tu unatolewa fast hata kuuguzwa hakuna