Manchester United (Red Devils) | Special Thread

siku hizi watu waoga sana,zamani mchezaji tegemeo uko uwanjani anakuja mama yako anakutuma dukani gemu inaendelea timu yako ikiwa pungufu mpaka unarudi toka dukani unandelea na namba yako,siku hizi mchezaji akichechemea tu unatolewa fast hata kuuguzwa hakuna
 
mashabiki wa Herrera tumeumia sana!tumesubiria muda mrefu mchezaji wetu ampige benchi Pogba imetokea leo ghafla kaumia kiajabuajabu tu
 
Sevila wanacheza rough game, washenzi sana hawa, watatuumizia wachezaji.
 
Hawa watangazaji wa wapiiii....wanalamlaumu refa eti hatoi kadi kwa wachezaji wa Man U.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…