Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bahati mzuri board ya manchester ina watu timamu na wanaojua mpira kuliko mimi na wewe thus y wamempa morinho mkataba mpya juzi tu baada ya kulidhika na anachokifanya
Mbona hata Smalling miaka chungu nzima huwa anapewa mikataba wakati ni chezaji bovu hata timu yetu ya keko furniture hapati namba
 
Mbona hata Smalling miaka chungu nzima huwa anapewa mikataba wakati ni chezaji bovu hata timu yetu ya keko furniture hapati namba
Nashukuru kwa kulitambua hilo,manchester hatuna kocha mbovu bali tuna timu yenye wachezaji wa kawaida,kwa timu iliyopo ya beki smalling na jones na kuwa tegemea akina rashford ata arud babu ferg hakuna kitakachobadilika.mpira wa sasa ni pesa,angalia man city,psg,barcelona,real madrid na vikosi walivyo navyo.mashabiki wa man u lazma tukubali tuna timu ya kawaida kabsa
 
Ni team ya tatu Kwa kutumia pesa nyingi ktk usajili. Ata enzi ya Fergie alikuwa na wachezaj wengine wa kawaida sana lakini aliweza watumia vizuri sana
 
Hao pgs wenye kikosi bora mara nying wamekutana na timu za kawaida sana bado wameruhusu magoli issue ya man u saiv sio wachezaji wabovu issue ni mfumo tuu na namna ya kuwatumia
 
Unataka wasajiliwe wachezaji gani?

Giggs alishauri Jesus wa Mancity asajiliwe akapigwa chini ...


Manchester united ni moja ya top spenders barani ulaya, cash inayotolewa ndio inayosajili hao wakina Linderlhof n.k Leo unakuja kusema team INA wachezaji wa kawaida , nani alaumiwe kocha anaewasajili au nani ????



Amini nakwambia Mourinho Leo akipewa Manchester city na wachezaji wale wale timu itapotea na Guardiola akipewa timu yetu utashangaa maajabu...


Unasema Rashford ni mbovu ila nakuhakikishia ,miongoni Mwa super talent academy ya Manchester imewahi kutoa ni huyu Dogo trace back kuanzia debut yake EUROPA chini ya Van Gal.


Problem ni Kocha Wetu formation ya kupack mabasi inawakosesha "Football rhythm" wachezaji Wetu ambao ni Driblers, mwisho wa siku tunawaona wabovu. Rashford ni kiberenge kama Sterling,Pedro au Mane , hawa timu ikipack basi utawaonea huruma....



Imagine rashford angekuwa chini ya Guardiola anaeamini kwenye attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack


Kupack basi ni simu kwa baadhi ya wachezaji , mikhtaryn ni mfano mzuri.
 
Hao pgs wenye kikosi bora mara nying wamekutana na timu za kawaida sana bado wameruhusu magoli issue ya man u saiv sio wachezaji wabovu issue ni mfumo tuu na namna ya kuwatumia
Mfumo unategemea na aina ya wachezaji ulionao mkuu
 
Leo Lukaku amezitumia nafasi vizuri otherwise timu imecheza ovyo Sana
I hope Pogba na Bailly watakuwa fit kuanza against Sevilla next week
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…