Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu hata mimi huwa najiuliza nakosa majibu. Yaani kwa sababu ambazo hatuwekwi wazi ghafla herrera amekuwa mchezaji wa qarabao na fa tu.
Binafsi huwa namuona herrera kama mbadala mzuri kucheza kando ya matic (sijamuongelea PP) maana ana uwezo wa kuichezesha timu haraka kuelekea mbele. Lakini leo hii McTomminay anamsubirisha herrera nje,unacheza na newcastle unatumia viungo wawili wagumu kama sio kukaribisha mashambulizi ni nini?
Mou aache wachezaji wawe huru kufurahia mpira sasa,ubingwa ushakuwa historia kwa msimu huu. Walau tufurahie hata burudani pekee kama makombe yameshindikana (kama alivyoamua wenger)
Naona mnaikumbuka misosi mliyowahi kusaza
 
Je, Munai-Acknowledge Man City Kuwa Ndiyo role model wenu? Naona mifano mumeifanya Mengi ya KuAccept Kuwa Man City amekuwa ni Upper Hand Katika City of Manchester.

Ni
Jambo la Busara Kuwa Man City Ajifunze Kutoka Kwenu, Sio Nyinyi Kujifunza Kutoka Kwake
 
Mimi nakushangaa unapoukataa ukweli na kuupaka vanila uongo.
Umekutana na jibu usilolitana ulivyopost tegemea mtizamo tofauti kule kwenu tulikwambia rose bakley hana sifa za kuchezea chelsea ulikataa ukasema atafuata nyayo za lampard ntakufukilia kabur kule au mkiwa kwenu mnakuwa malaika? Lakina conte anaona chenga tu
 
Je, Munai-Acknowledge Man City Kuwa Ndiyo role model wenu? Naona mifano mumeifanya Mengi ya KuAccept Kuwa Man City amekuwa ni Upper Hand Katika City of Manchester.

Ni
Jambo la Busara Kuwa Man City Ajifunze Kutoka Kwenu, Sio Nyinyi Kujifunza Kutoka Kwake
Hapana mkuu kwa sasa city wanafanya vizur sana
 
Manchester united wachezaji tunao kabisa wakuweza kuipeleka timu tunapotaka mashabikiweng.
Ila hatuna kabisa kicha wa kutufanya tufike hapo tunapopataka labda tukibadili ila kw huyu wa sasa sina iman naye.

huwa anacreat bifu binafsi na wachezaji.. ni kwel kabisa herrela siyo wa kuwekwa benchi hilo bifu Lake binafsi kocha wetu, niliwah kusoma source moja kwamba tatizo la herrela na mour lilikuja kipind herrela alipomkaribisha rafk yake anaechezea Celta vigo kwenye uwanja wa mazoez wa Manchester kipind wanajiandaa kucheza na celta vigo, hapo ndo tatzo lilipoanzia

wakat mwngne huwa nadhan labda mour kazeeka iv anashindwa kabsa kuona POGBA SIYO DEFENSIVE MIDFIELDER, anamfanya pogba aonekane average player kabisa, kwanini matic na herrela wasianze harafu pogba awe juu yao kama free player, ila mour haon hilo.

kitu Kingine huwa namshangaa kumuamini smalling wakat kwenye benchi una beki bora dunian Marcos rojo mzima kabisa,dah huyu kocha bhana.

harafu mpira wa kudefend ushapitwa na wakati tena huwa naboreka sana tukikutana na timu ambazo zipo kwenye top 6 lazima mour adefend tu yan anakaribisha mashambulizi kabisa,

kuna mdau alishawah Kusema kwa tatctic za mour hatuwez kufika popote labda abadilike, ni kwel kabisa
 
hawa watu tunawahitaji sana katika wakati huu mgumu ROJO&BAILY
 

Attachments

  • 27751818_2045752528798073_6231413844481275858_n.jpg
    27751818_2045752528798073_6231413844481275858_n.jpg
    20.3 KB · Views: 48
  • 27750242_2046625325377460_7190546133721690822_n.jpg
    27750242_2046625325377460_7190546133721690822_n.jpg
    20.2 KB · Views: 52
Umekutana na jibu usilolitana ulivyopost tegemea mtizamo tofauti kule kwenu tulikwambia rose bakley hana sifa za kuchezea chelsea ulikataa ukasema atafuata nyayo za lampard ntakufukilia kabur kule au mkiwa kwenu mnakuwa malaika? Lakina conte anaona chenga tu
It always take time to be like someone or more than someone. Just give him a time you know its a process.

Only time is the best answer. So man relax!!
 
Manchester united wachezaji tunao kabisa wakuweza kuipeleka timu tunapotaka mashabikiweng.
Ila hatuna kabisa kicha wa kutufanya tufike hapo tunapopataka labda tukibadili ila kw huyu wa sasa sina iman naye.

huwa anacreat bifu binafsi na wachezaji.. ni kwel kabisa herrela siyo wa kuwekwa benchi hilo bifu Lake binafsi kocha wetu, niliwah kusoma source moja kwamba tatizo la herrela na mour lilikuja kipind herrela alipomkaribisha rafk yake anaechezea Celta vigo kwenye uwanja wa mazoez wa Manchester kipind wanajiandaa kucheza na celta vigo, hapo ndo tatzo lilipoanzia

wakat mwngne huwa nadhan labda mour kazeeka iv anashindwa kabsa kuona POGBA SIYO DEFENSIVE MIDFIELDER, anamfanya pogba aonekane average player kabisa, kwanini matic na herrela wasianze harafu pogba awe juu yao kama free player, ila mour haon hilo.

kitu Kingine huwa namshangaa kumuamini smalling wakat kwenye benchi una beki bora dunian Marcos rojo mzima kabisa,dah huyu kocha bhana.

harafu mpira wa kudefend ushapitwa na wakati tena huwa naboreka sana tukikutana na timu ambazo zipo kwenye top 6 lazima mour adefend tu yan anakaribisha mashambulizi kabisa,

kuna mdau alishawah Kusema kwa tatctic za mour hatuwez kufika popote labda abadilike, ni kwel kabisa
maureen-whore is the best coach in the world
 
Manchester united wachezaji tunao kabisa wakuweza kuipeleka timu tunapotaka mashabikiweng.
Ila hatuna kabisa kicha wa kutufanya tufike hapo tunapopataka labda tukibadili ila kw huyu wa sasa sina iman naye.

huwa anacreat bifu binafsi na wachezaji.. ni kwel kabisa herrela siyo wa kuwekwa benchi hilo bifu Lake binafsi kocha wetu, niliwah kusoma source moja kwamba tatizo la herrela na mour lilikuja kipind herrela alipomkaribisha rafk yake anaechezea Celta vigo kwenye uwanja wa mazoez wa Manchester kipind wanajiandaa kucheza na celta vigo, hapo ndo tatzo lilipoanzia

wakat mwngne huwa nadhan labda mour kazeeka iv anashindwa kabsa kuona POGBA SIYO DEFENSIVE MIDFIELDER, anamfanya pogba aonekane average player kabisa, kwanini matic na herrela wasianze harafu pogba awe juu yao kama free player, ila mour haon hilo.

kitu Kingine huwa namshangaa kumuamini smalling wakat kwenye benchi una beki bora dunian Marcos rojo mzima kabisa,dah huyu kocha bhana.

harafu mpira wa kudefend ushapitwa na wakati tena huwa naboreka sana tukikutana na timu ambazo zipo kwenye top 6 lazima mour adefend tu yan anakaribisha mashambulizi kabisa,

kuna mdau alishawah Kusema kwa tatctic za mour hatuwez kufika popote labda abadilike, ni kwel kabisa
Umeandika vizuri sana Mkuu , nilikuwa miongoni Mwa wadau walioliona hili tatizo la Mourinho ila mwenzetu Radika aliongoza majeshi ya kutuponda.


Ni ukweli ulio wazi Mourinho mbinu zake ni "outdated" hawezi kuivusha team mbele zaidi ya hapo.
 
Juan Mata: "I see children now and many things surprise me: they ask me about my boots and why I don't die my hair. I wonder "Why don't you talk to me about how to cross the ball, control it, the position of the body when I strike the ball?" [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]

Juan Mata: "Previously, kids wanted a ball; nowadays they want boots and jerseys, they don't have a ball and they cannot play too much. Yet they don't mind because they can show off their boots and shirt and that's enough." [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]

Juan Mata: "Football is losing it's essence, people talk about celebrations instead of goals. I'm not criticising people talking about boots or haircuts but I would ask that people talk more about the other stuff, about the game itself." [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]
 
Juan Mata: "I see children now and many things surprise me: they ask me about my boots and why I don't die my hair. I wonder "Why don't you talk to me about how to cross the ball, control it, the position of the body when I strike the ball?" [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]

Juan Mata: "Previously, kids wanted a ball; nowadays they want boots and jerseys, they don't have a ball and they cannot play too much. Yet they don't mind because they can show off their boots and shirt and that's enough." [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]

Juan Mata: "Football is losing it's essence, people talk about celebrations instead of goals. I'm not criticising people talking about boots or haircuts but I would ask that people talk more about the other stuff, about the game itself." [HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]
Ukweli mchungu huu.....
 
Umeandika vizuri sana Mkuu , nilikuwa miongoni Mwa wadau walioliona hili tatizo la Mourinho ila mwenzetu Radika aliongoza majeshi ya kutuponda.


Ni ukweli ulio wazi Mourinho mbinu zake ni "outdated" hawezi kuivusha team mbele zaidi ya hapo.
Kama Pogba angelikuwa anacheza chini ya Pep nadhani angelikuwa na assists sio chini ya 20+.

Mpira wa sasa ni mpira wa kasi yeye anawaza kuzuia tu
 
Kama Pogba angelikuwa anacheza chini ya Pep nadhani angelikuwa na assists sio chini ya 20+.

Mpira wa sasa ni mpira wa kasi yeye anawaza kuzuia tu
Mfumo wa Pep unawataka viungo wa mbele/washambuliaji ndio wanapaswa kukaba kuliko hata mabeki huwezi kumkuta KDB anarelax na mpira kama anavyofanya Pogba
Pogba angekuwa na assist nyingi sababu Man City wana finisher wazuri kuliko United
 
Back
Top Bottom