Tuache kumlaumu JM, je misimu minne iliyopita tushawahi kushika nafasi tuliyoishika sasa hivi? Je walio muongezea mkataba unadhani ni wajinga??
Alichukua timu ambayo kwenye uefa haipo ila sasa hivi tupo uefa na msimu ujao tutakuepo!!
Kwa mtazamo wangu hamna kocha anayeifaa man u zaidi ya mou kwa sasa!!
Mkuu Katika andiko langu nmebainisha wazi..
JM nampenda sana hasa Silka yake kama binadamu..
Mpambanaji, mpiganaji na asiekubali kushindwa..
Binafsi nacholaum kias kidogo ni Man Utd kutokua na kikosi cha kwanza kinachoeleweka ili walau anapoumia mchezaji au suspension pengo linazibika kiurahisi..
Pia nafasi stahiki za wachezaji mfano Kamnunua Mkhi acheze wap??
Kamleta PP acheze wap kwa mfumo upi??
Straika aliekua anatakiwa Utd alipaswa aje kucheza vipi??
Mwisho wa siku timu ikiharibu ni yeye atakua responsible,, na sio wachezaji..
Mkuu ni fedheha timu kama Manchester Utd kufungwa na kna hudder,, hata kwa babu ilikua inatokea and then baada ya hapo haijirudii ila kwa sasa ni kama mwendelezo..
Ishu ya UCL ipo wazi sheria za Uefa za bingwa wa Europa kushiriki ndio zmetubeba... Ligi tulimaliza wa ngapi mwaka jana??
Sipendi JM aondoke Man Utd bila ubingwa mkubwa wa heshima,, ila tunaomba mabadiliko.. Alete anaohisi watamfikisha anapotaka na aweze kuwatumia pia...
Mwanadamu yeyote anaposhindwa kuyamudu mazingira yake akiwa na vitendea kazi anakuwa Primitive...
Mpira wa sasa hauhitaji uvumilivu.. Man Utd wakisema watulie wajenge timu ni mengi mno yatapotea na brand itashuka sana rejea mkataba na Addidas pekee...
Carlo kafanya nn Munchen?? Baada ya mda gan kaondolewa??
Kuhusu mkataba binafsi naamini Ed n big mind.. JM alishaanza kutumia kundi lake kuwaaminisha kuwa anaondoka Utd kaamua ampunguze nguvu..
Ukizingatia timu haikuwa vibaya na hana sababu za kumwondoa,,
Alisikika akilaum kumkosa wide player kaletewa AS7.
Ed n master sina shaka kamtia kitanzi.. Kwa nn hajapewa miaka mingi kama Moyes??
Finale... Man Utd bado ina watu wa kawaida wengi labda tu tusiwe tunakuwa na matumaini makubwa..
Utd 4ever...



