Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
liverpool wiki ijayo utanuna tu jana mmecheza na acadeny yenu umefurahi muda si mrefu tutamuona vani daiki
Ni mechi ngapi Pogba +Matic wamecheza na timu ikacheza vizuri na kushinda ?Mourinho hafai pale Manchester united mbinu zake ni za kuharibu wachezaji...
Game dhidi ya Huddersfield aliweka two holding midfielders( Matic na Tom).. Kuna mtu nilimueleza kama unajihami namna hii kwa kitimu kama hiki hizi ni dalili huyu kocha ni jipu. Game ya Jana the same ( Pogba Vs Matic ) dhidi ya Newcastle, hii ni aibu kwa team kama Manchester united kujihami kwa kiasi hiki.
Niseme Kitu sote ni mashabiki wa Manchester united na tunaipenda sana ila kwenye ukweli tuseme , kocha Wetu hana uwezo.
Suala sio kucheza pamoja issue ni wote kuchezeshwa kama "Holding Midfielders"Ni mechi ngapi Pogba +Matic wamecheza na timu ikacheza vizuri na kushinda ?
Nafahamu ,Pogba amecheza kama holding midfielder baada ya Sanchez kusajiliwa game ya jana mbele kulikuwa na Sanchez,Martial,Lukaku & Lingard hao ni 4 attaking players hii nayo ni mfumo wa kujihami?Suala sio kucheza pamoja issue ni wote kuchezeshwa kama "Holding Midfielders"
Nadhani utakuwa unanielewa
Hakuna kitu amekosa goli la waz yuko peke yake pale unafikili mtu km kun aguero anakosa???waangalie vizuri wasilete ushabiki
Kwa hiyo aguero kila akiingia ndani ya 18 ni goli? Tafuta marudio ya manchester city anakufa goli moja kwake la rashford dakika ya 6:05 kukosa ni kawaidaHakuna kitu amekosa goli la waz yuko peke yake pale unafikili mtu km kun aguero anakosa???
View attachment 694204
Sanchizi stats Kwa Newcastle United:
• Goal = 0
• Assist = 0
• Shot on Target = 0
£500,000 a week??? 😀 😀 😀
McDonaldJr Wenger Kweli ni Professor
Pogba ni mwehu hizo 600 zote apewe kwa kiwango gani?Kwa ushauri tu Mourinho Asolve internal issue iliyopo Kwa Paul Pogba Kabla haijawa too late.
Siku Zote Rumors huwa zina kaukweli Fulani Ndani Yake! Media Mara kazaa zinariport kuwa Jamaa kafanya Jealous na £500K za Sanchizi Wakati alijiaminisha Kuwa Yeye atabakia Kuwa ni Main Man na Most Paid Kwa Muda wote atakao kaa Man U.. Lakini leo atokee Alexis from Nowhere awe Juu Yake!!!!..
Wakati Pesa zipo kama ulivyoclaim basi Mpeni £600K yeye ili asicheze chini ya Kiwango.
Hii ndio formation tumecheza jana , 4-2-3-1 .... Timu kama Newcastle unawaweka matic na Pogba wapaki basi???? Kwanini tusicheze na matic peke yake Pogba awe Juu ????Nafahamu ,Pogba amecheza kama holding midfielder baada ya Sanchez kusajiliwa game ya jana mbele kulikuwa na Sanchez,Martial,Lukaku & Lingard hao ni 4 attaking players hii nayo ni mfumo wa kujihami?
Hizo hela hawezi kulipwa hapa tunapingana na mbinu za mourinho ktk baadhi ya mechi na kumtetea pogba ila kuna muda kiungo unatakiwa uwe unacheza sehemu yoyote kwa pesa aliyonunuliwa na mshahara haiwezekan kiungo ucheze namba moja tu kwa mfano mata alipoingia alifanya vitu vingi sana kwa muda mfupi sasa kama kiungo huna mbinu za kujilinda ni shida tunamtetea pogba hatutak muda wote kuzuia ila na yy ni mvivu kujifunza kuzuia labda wataalamu watuambie box to box midfielder anakuajePogba ni mwehu hizo 600 zote apewe kwa kiwango gani?
Nafahamu ,Pogba amecheza kama holding midfielder baada ya Sanchez kusajiliwa game ya jana mbele kulikuwa na Sanchez,Martial,Lukaku & Lingard hao ni 4 attaking players hii nayo ni mfumo wa kujihami?
Tuache kumlaumu JM, je misimu minne iliyopita tushawahi kushika nafasi tuliyoishika sasa hivi? Je walio muongezea mkataba unadhani ni wajinga??Mkuu,,
Kakipigo kameumiza sana haka,,
Mara mia mbili nifungwe na Kun, Kane, Messi, Neymar, Isco ila sio kna nani sjui...
Wengne tupo mbali na TV...
Ila basing on mitandao na outcome,,
Namba 1,2,3 hapo juu ndio mchawi mkubwa kwa timu...
Namheshimu Josee 'Special One' kama mwanadamu mwenye uthubutu,,
Nayaheshimu pia mafanikio yake,, ni kocha bora na wa kipekee sana
Ila,,, Zama zmempita,, bahati mbaya sana ypo ligi moja na Pep,,
Hata mzee Carlo kachemka Munchen si kwamba ni mmbaya ila ndio hivo mambo hayakwenda kama yalivotarajiwa,..
Ni aibu na fedheha kwa kocha kununua wachezaji kibao then wakushinde kuwatumia... Mkhi,, Double P wa juve ndie ambae tnamtaka,,, yle hata hyu mchawi mpya wa ligi angeonekqna cha mtoto,, Victor Linderleof,, plus the beast Lukaku..
Ingekua kwetu tungesema viongozi ndio wamewaleta hayakua mapendekezo ya Mwl.
Ni aibu Mata kuozea benchi,,
Ni aibu Herrera kukosa namba Man Utd kwa mpira wa sasa ulimwenguni..
Inaonekana hata Alexis ndoto za mataji ztampita mbali kwa mwendo huu..
Misimu miwili no First Eleven???
16 pts gape bado tunasema amebadili mambo mengi?? Na tmu ina ushindani??
Lets assume Spurs,, Liver,, Chel, na Asenal wangekua katika best form.. Tungekuwa wap kwa sasa??
NB: Wakuu Namheshimu sana JM kama mwanadamu mpambanaji asieogopa changamoto,,,
Nayaheshimu sana mafanikio yake..
Simaanishi ni kocha mbaya
Ila huenda hana bahati Manchester United
Moja ya kazi za ndoto yake...
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Hili nalo linaweza kuwa tatizo mkuu!!Kwa ushauri tu Mourinho Asolve internal issue iliyopo Kwa Paul Pogba Kabla haijawa too late.
Siku Zote Rumors huwa zina kaukweli Fulani Ndani Yake! Media Mara kazaa zinariport kuwa Jamaa kafanya Jealous na £500K za Sanchizi Wakati alijiaminisha Kuwa Yeye atabakia Kuwa ni Main Man na Most Paid Kwa Muda wote atakao kaa Man U.. Lakini leo atokee Alexis from Nowhere awe Juu Yake!!!!..
Wakati Pesa zipo kama ulivyoclaim basi Mpeni £600K yeye ili asicheze chini ya Kiwango.
Una uhakika pogba anacheza kama holding midfielder?? Unaelewa maana ya holding midfielder??Suala sio kucheza pamoja issue ni wote kuchezeshwa kama "Holding Midfielders"
Nadhani utakuwa unanielewa
Lingard sio mchezaji wa kuanza workrate yake ndio inamsadia,Pogba hata ukiangalia body language yake unaona kabisa hayuko OK it's very risk kumchezesha Matic peke yake anacheza kwa sindano na amechokaHii ndio formation tumecheza jana , 4-2-3-1 .... Timu kama Newcastle unawaweka matic na Pogba wapaki basi???? Kwanini tusicheze na matic peke yake Pogba awe Juu ????
Hivi unataka kuniambia lingard ana ubora wa kumnyima namba Pogba hapo Juu ???? Jana lingard kama namba nae na muda mwingine 10 akichange na Alexis amepiga pasi ngapi "Murua" za mwisho kwa namba Tisa????
Vyovyote iwavyo Paul Pogba si mkabaji na hatendew haki. Nina Uhakika kama Jana Pogba angecheza Jana kama namba nane au 10 tungekuwa aggressive kwenye mashambulizi refer mechi ya kwanza old Trafford, Alifunga goli 1 na assist 2 nadhani.
Safu ya ushambuliaji hata uwe na ronaldo au messi bila kuwa na namba nane au 10 mzuri hawatafanya lolote. Jana ndicho kilichotokea
Hii ndio formation tumecheza jana , 4-2-3-1 .... Timu kama Newcastle unawaweka matic na Pogba wapaki basi???? Kwanini tusicheze na matic peke yake Pogba awe Juu ????
Hivi unataka kuniambia lingard ana ubora wa kumnyima namba Pogba hapo Juu ???? Jana lingard kama namba nae na muda mwingine 10 akichange na Alexis amepiga pasi ngapi "Murua" za mwisho kwa namba Tisa????
Vyovyote iwavyo Paul Pogba si mkabaji na hatendew haki. Nina Uhakika kama Jana Pogba angecheza Jana kama namba nane au 10 tungekuwa aggressive kwenye mashambulizi refer mechi ya kwanza old Trafford, Alifunga goli 1 na assist 2 nadhani.
Safu ya ushambuliaji hata uwe na ronaldo au messi bila kuwa na namba nane au 10 mzuri hawatafanya lolote. Jana ndicho kilichotokea
Mpira ni magoli ukifunga yanakupa confidence kama unapata nafasi huzitumii utapoteza tu,United walidominate game ya jana Newcastle walipata chance 2 wakafunga goli baadae wakapaki busMkuu ule ni mfumo wa kujilinda 4231 unapata goli la haraka unaanza kuzuia kucheza counter atack hawa newcastle wakujinda kweli?
Halafu najiuliza sana sawa pogba hatendewi haki ina maana hata jonjo wa kumpoteza?
Kweli mkuu yashatokea tugange yajayo ila jana tulikuwa wazembe sana.Mpira ni magoli ukifunga yanakupa confidence kama unapata nafasi huzitumii utapoteza tu,United walidominate game ya jana Newcastle walipata chance 2 wakafunga goli baadae wakapaki bus
Mkuu unafaham maana ya "double holding midfielders" ????Unaposema pogba hakucheza namba nane,je nani alicheza namba nane ikiwa matic alicheza 6, lingard 10, martial 7 na sanchez 11??