Wakuu hivi mnaonaje tusiwe tunawajibu hawa jamaa wanaotoka kwny majukwaa yao then wanakuja kutukana na kupigia kelele humu.!? Maana tunavyowajibu ndo wanazidi kuvimba vichwa pumba hawa..
Wakuu tupo uwanjani na hawa vijana wa newcastle,mda sio mrefu tunakipiga..hivi mourinho atawapanga vipi sanchez na martial ili kuweza kuwaaccomodate kwenye first eleven??
Wakuu tupo uwanjani na hawa vijana wa newcastle,mda sio mrefu tunakipiga..hivi mourinho atawapanga vipi sanchez na martial ili kuweza kuwaaccomodate kwenye first eleven??
Wakuu hivi mnaonaje tusiwe tunawajibu hawa jamaa wanaotoka kwny majukwaa yao then wanakuja kutukana na kupigia kelele humu.!? Maana tunavyowajibu ndo wanazidi kuvimba vichwa pumba hawa..
Watoto malimbukeni sana hawa mwaka huu wameibuka wengi kama huyo mchezaji ndo msimu wake wa kwanza.
Dawa ni kuwapuuza tu kibaya zaidi wanaingiza na matusi makuzi ni kitu muhimu sana ukizoea kuwaza machafu kuacha ngumu sana.
Watoto malimbukeni sana hawa mwaka huu wameibuka wengi kama huyo mchezaji ndo msimu wake wa kwanza.
Dawa ni kuwapuuza tu kibaya zaidi wanaingiza na matusi makuzi ni kitu muhimu sana ukizoea kuwaza machafu kuacha ngumu sana.
Wakuu tupo uwanjani na hawa vijana wa newcastle,mda sio mrefu tunakipiga..hivi mourinho atawapanga vipi sanchez na martial ili kuweza kuwaaccomodate kwenye first eleven??