Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Naona miti yote leo inateleza 😀Leo EPL haina Faraja Kwangu! 😀 😀 Hapa Mumeshinda! Na Kule Arsenal anammiminia Toni Kiama.
Bora Nikaangalie Movie hamna Namna.
Kwa mfumo wa aseno atafanya vizuri!! tumtakie kila la heriMikh tayari ametoa mapande mawili huko.
Ameshafikisha ma-3Mikh tayari ametoa mapande mawili huko.
Kwa kweli.Leo De Gea alikuwa likizo.
Ndugu kwa nini humpendi Martial mbona ana kipaji kikubwa kuliko rashford? Japo wote ni potentials.Rashford in for Mata... Mou leo umenifurahisha sana huyo Martial muache aozee bench
Yaan nsipomuonaga huyu jamaa uwanjani pamoja na martial huwa nakosa amani kabisa. Nawakubali sana.
Huyu jamaa always anakupa 100% ya uwezo wake kila akiwa uwanjani regardless mambo ya nje ya uwanjaZile vurugu za sanchez kanikumbhsha tevez mwaka 2008 kila mahali yupo
Pogba alisema nini mkuu!?!Leo nilimkubali sana Mou kwa treatment aliyompa Pogba,ili awe mkamilifu anatakiwa atubu sasa kwa maneno yake ya kishamba aliyomrushia the legend Paul Scholes manake kwa sasa naona alichokisema Scholes kimeonekana wazi na yeye sasa anakula matapishi yake.
No,Pogba hakusema kitu bali ni Paul Scholes kuna kipindi timu ilikuwa haifanyi vizuri sana sasa yeye wakati anachambua baadhi ya mechi hizo akasema "inasikitisha sana kuona timu kama Man U ina wachezaji wasiojituma na kuwa tayari kuifia timu. Ukiangalia matokeo yanazidi kuwa mabaya kila siku ni aibu sana" Alipoulizwa yeye anahisi tatizo hasa ni nini? Akasema "Mimi nionavyo tatizo linaanzia kwa Paul Pogba, ukiangalia Man U inajengwa kumzunguka Pogba kwa hiyo anapocheza vibaya na timu haichezi vizuri. Pogba amekuja hapa kwa gharama kubwa na tuna matumaini makubwa na yeye lakini ukimuangalia hajitumi ipasavyo, yuko wapi Pogba Wa Juventus? Yuko wapi Pogba aliyekuwa anaonekana kila sehemu ya uwanja pale Juventus? Yuko wapi Pogba aliyekuwa anavunja ngome za wapinzani pale Juventus? Yuko wapi Pogba aliyekuwa anafunga magoli kutoka mita ishirni na tano pale Juventus? Ukijiuliza unaona ni mchezaji tu amefeli na wakati mwingine unaweza kuona pengine kocha naye anafeli, kwa sababu Ni aibu kubwa sana kwa timu kuwa na mchezaji kama Paul halafu akashindwa kutumika kwa kiwango kinachotakiwa". Mou alipoulizwa kuhusu maoni ya Scholes akajibu kwamba Scholes anatakiwa apuuzwe kwa sababu anamuonea wivu Pogba kwa hela anazoingiza pale Man U ndio maana ana msema Mara kwa Mara. Sahz naona somo limemuingia na anamchukulia hatua kimya kimya.Pogba alisema nini mkuu!?!