Muelewe jamaa, kamaanisha chalii yuko vizuri on a long term thing sio kwa sasa.Mkuu unampima huyo dogo kwa Huddlesfield inayoshuka daraja. Mpe mechi kubwa akae hapo kati alafu ndio urudi hapa kutoa maoni yako.
Sawa mkuu ila uliangalia mechi na CSKA & BEnifica?Mkuu unampima huyo dogo kwa Huddlesfield inayoshuka daraja. Mpe mechi kubwa akae hapo kati alafu ndio urudi hapa kutoa maoni yako.
Ubarikiwe mkuuMuelewe jamaa, kamaanisha chalii yuko vizuri on a long term thing sio kwa sasa.
Tominay ndio kwanza kapandishwa kutoka Utd Academy, hajaanza hata match tatu straight, watu wamepima ile utulivu wake akiwa na Mpira versus game experience aliyo nayo.
Unatumia akili au makalio kufikiria.Kwasababu Mamako aliniambia aliwahi Kuja bila ya Nguo Kwa Wanaume Wa Chumba Hichi Ndiyo na Mimi Kanipa Maelekezo Pia Nije humu.
Imekuwa drooooo.Inaelekea kuwa drw uko.
Hahhaha Phil Jones anajituma sana bhanaTold you guys, kuna timu imemsajili Phil Jones wa kiholanzi kwa £75 mill.
Told you guys, kuna timu imemsajili Phil Jones wa kiholanzi kwa £75 mill.
Ok, hawawezi kuwa sawa maana mmoja at the age of 20 tayari alikua anacheza Manchester huyu mwingine akiwa na miaka 20 bado alikua anacheza ndondo kama sio kua ball boys.Ni unazi tu unaotumia VVD Anatusaidia Sana Katika Ulinzi na Leo Kafanya Clearance nyingi tu.
Hakuhusika na Kosa lolote la Kimchezo Kwa Leo.
Kama Ni Penalty (Ya 2) basi Kila alietazama Mpira anajua Ni Swala la Kimaamuzi Ndiyo tatizo ingawa si mantic yangu hapa kujadili au kulaumu maamuzi.
VVD yupo Juu labda tafuta njia nyengine ya Kutushawishi.
Huwezi mfananisha Na Jones wako.
£75 mill down the drain, and Virgil Van djik concedes again.
![]()
Unaweza ukaongoza kwa kila kitu lakin umecheza mpira mbovuMkuu hivi takwimu zikiwa hivyo unakuwa umecheza mpira mbovu?
View attachment 690224
View attachment 690225View attachment 690225
Kitu ambacho jana nilikigundua hatukua makin ktk umaliziaji tu angalia sanchez na mata walivyofanya vizur kule mbele kwa kutafutana kwa pasi nzur
Kama de gea alikuwa anasoma gazet kwamba tulikuwa tunacheza vibaya?
Ni unazi tu unaotumia VVD Anatusaidia Sana Katika Ulinzi na Leo Kafanya Clearance nyingi tu.
Hakuhusika na Kosa lolote la Kimchezo Kwa Leo.
Kama Ni Penalty (Ya 2) basi Kila alietazama Mpira anajua Ni Swala la Kimaamuzi Ndiyo tatizo ingawa si mantic yangu hapa kujadili au kulaumu maamuzi.
VVD yupo Juu labda tafuta njia nyengine ya Kutushawishi.
Huwezi mfananisha Na Jones wako.
Virgil van Dijk:
Games - 5
Goals conceded - 9
Clean Sheets - 0
Penalty given away - 1
£75 million.
Ile n beki mkuu na hakuna beki bora asiyefanya makosa wanaombeza wanamatatzo yaoBado umesahau Kuwa VVD kafunga Goli moja kuwafunga Everton, na Jones Kafunga goli Moja Kuwafungia Spurs.
By the Way! Hizo Stats Hazihusiani na nilichokiQuote!
Mabeki Ni Wanne (2,3,4,5) na Kipa Ni Mmoja. Kwahiyo Magoli Yote tuliyoconcede inayohusika ni Safu ya Ulinzi na Kipa na Wala si VVD pekee.
Ni Ulimbukeni na Wivu Kumtupia lawama VVD wakati Kuna individual Errors za Kina Matip, Gomez, Lovren na Kipa.
Mfano Goli la Jana La Wanyama Ni wivu tu na Kujifariji ndicho Kinachokufanya Mhusishe VVD Na Goli lilifungwa Mita 25m.
VVD Ni World Class CB hilo halina ubishi na Jana Ameonesha performance ya hali ya Juu.
Na ubovu Wa Beki pale anapokuwa anafanya bad clearance zenye kujirudia na sio Accidentally foul in penalty area.
I'm sure you are deluded by your personal ridiculous emotion.
Ni nani aliesababisha penalti?Bado umesahau Kuwa VVD kafunga Goli moja kuwafunga Everton, na Jones Kafunga goli Moja Kuwafungia Spurs.
By the Way! Hizo Stats Hazihusiani na nilichokiQuote!
Mabeki Ni Wanne (2,3,4,5) na Kipa Ni Mmoja. Kwahiyo Magoli Yote tuliyoconcede inayohusika ni Safu ya Ulinzi na Kipa na Wala si VVD pekee.
Ni Ulimbukeni na Wivu Kumtupia lawama VVD wakati Kuna individual Errors za Kina Matip, Gomez, Lovren na Kipa.
Mfano Goli la Jana La Wanyama Ni wivu tu na Kujifariji ndicho Kinachokufanya Mhusishe VVD Na Goli lilifungwa Mita 25m.
VVD Ni World Class CB hilo halina ubishi na Jana Ameonesha performance ya hali ya Juu.
Na ubovu Wa Beki pale anapokuwa anafanya bad clearance zenye kujirudia na sio Accidentally foul in penalty area.
I'm sure you are deluded by your personal ridiculous emotion.
KukakuNi nani aliesababisha penalti?