Manchester United (Red Devils) | Special Thread


wewe ni kilaza wa football............mpira wa miguu ninaujua na nimeucheza sana.......kama umeshindwa kuona tofauti niliyoitaja basi tena ..........hakuna kitu kama hicho eti unaingia mashindanoni ili ukatoe draw.........hata Brazil/Argentina ikienda LaPaz.........suala ni moja tu.........ushindi unatafutwa..........

Eti 'Kuchokesha timu"......yaani ndio kabisa inaelekea hata "ndinga" uwanjani hujawahi kukanyaga.........timu inatakiwa iwe na quality players wanaocheza kwa ushirikiano............Kwa SAF huwezi kushuhudia tabia za akina TEVEZ/Lampard........wakiwa substituted wanapiga chini chupa ya maji..........hata C.Ronaldo alipoleta jeuri kipindi fulani ManU naye alipigwa benchi na SAF..........
 

LOl! Mkuu kama nimekukosea kwakusema Mpira hujui sorry nimetumia accusation ambayo haitakiwi sababu sikujui, Kuhusu timu inatakiwa iwe na quality players wanaocheza kwa ushirikiano nakubaliana Ndomana nikakwambia Sir Alex alivyopanga alijuwa nini anafanya sababu anajuwa ana Quality yakuweka baazi ya watu Bench na ile Game alienda kwa nia ambazo ikifikia Point basi bora Point moja, Pia ndomana nikasema Liverpool inatakiwa kujipanga sana kwa kumaanisha kuwa na quality wengi wa maana wa kucheza kwa ushirikiano, MAn City wana quality ila si wakucheza kwa ushirikiano timu yenye mafanikio niile inayoweza kukaa kama Familia yenye upendo, United wanao wengi Barca wanao wengi, Arsenal walikuwa wanao wengi ila wameitenganisha. na hata timu unapobadilisha basi unabadilisha kama unatimu nzuri watu wawili mwisho ndio mafanikio ya united wanakaa kwamuda mwingi kila mtu anampa mwenzake ushirikiano.
 
Wakuu naona mmekuwa torpedoed, khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nguvu ya soda imekwisha?
 
Wakuu naona mmekuwa torpedoed, khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nguvu ya soda imekwisha?

Hongereni..nasikia mmenusa TOP 10 kwa mara ya kwanza tangu ligi ianze...
Nt bad..
 
Hongereni..nasikia mmenusa TOP 10 kwa mara ya kwanza tangu ligi ianze...
Nt bad..

Ndio mkuu chichi tinakwenda mechi kwa mechi tumebakiza 30 games, nachikia nyinyi mnakwenda kwa mkupuo .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hongereni ......








Ooops BTW nachikia kuna Investigation FA ku nani?




And then ''United's in-house television channel MUTV were forced to edit an interview with Phil Jones following Saturday’s game after he spoke out over the challenge from Rio Ferdinand on Charlie Adam. He said the Scotland midfielder dived to win the free-kick.''

Tabia haibadiliki, ukiwa mtoa rushwa huwezi Wacha hata kwenye ukweli bado wanapindisha mwaka huu mtafilisika na Brown envelopes shukuruni hamkupata charge ya maandazi. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 


Mimi chi chemi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 


Mimi chi chemi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
This fella is a real jerk, nilishamchukia in the aftermath of WC, ila naona this time nitamchukia mara mbili..... mwone, meno ka nguruwe pori.
 


Diver...............!
 
Silence msipige kelele ... ..... ...... ....sh wenyeji wamekwenda kwenye vikao vya harusi. Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ngojeni wapate goli watarudi kwa mfululizo.
 
Noisy neighbours washabandikwa kamoja ..... .... . hapa naona pamepoa ngoja niingie kwa Mancs .... ... tena inanyesha mvua huko Eastland .... .... ...
 
Penalty for manure .... . . handball in the area ... ...
 
Manda jitokeze chacha khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wine goli la matuta ... ... ...


Ooops red card Vidic .... ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…