Wachezaji leo wamekuwa hovyo kabisa
Pogba sijui kalala wapi
Martial inaelekea hamjui Mou
Jones kama mlevi leo
Smalling analeta panic attacks kwenye defence
Sanchez hakabi kampa shida sana Young
Mkiwa na wachezaji 7/8 hawajisikii kucheza hamuwezi kushonda. Ndio maana Mou huwa anawapa ukweli wao!