mkuu zinapokuja habari za Man u waandishi wengi wanapenda kuandika negative ili wapate watembeleaji wengi. wachezaji wa chelsea, arsenal na timu nyengine utatajiwa mishahara yao tu ila wa man u kila kitu utakijua na watatia chumvi mpaka lionekane kama jambo baya hivi.Mpaka sasa sijajua mshahara anaolipwa Sanchez, wako wanaosema ni 350k wengine ni 400k wengine ni 500k na wengine ni 600k.
Kila mtu anajiandikia mshahara wake jambo linalofanya hizi habari zisiwe za uhakika.
Confirmed, dogo kajiunga for the rest of the season.Sanchez akiwa ameuteka huu uzi kwa sasa, tujipumzishe na habari nyingine.
Aston Villa are hoping to push through a loan deal for Axel Tuanzebe this week. [telegraph]
Martial na msuva nani mkali?Ampange kote ila sio Martial kukaa benchi
Four years ago today, Juan Mata signed for United and made the smoothest entrance you'll ever see...
The name's Mata. Juan Mata.
View attachment 683916
Jack Cheon.Martial na msuva nani mkali?
Man utd ina vichwa vya biashara mzee baba,subiri usikie mauzo ya jezi tu ndo utajua namaanisha nini.Pogba yuko vizuri sana kibiashara wasiwasi wangu ni kwamba sioni ni vipi alexis atatengeneza hela nyingi kwenye timu kumzidi pogba anavyotengeneza ukilinganisha na kiwango cha hela anayopata (hapa ni kama endepo moja ya sababu ya kumnunua ni ya kibiashara)
YEEEESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS GET INNNNNNNNWe are delighted to announce Jose Mourinho has signed an extension to his contract with [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG].
Club statement: Manchester United announce new contract for Jose Mourinho - Official Manchester United Website Manchester United on Twitter
