Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Four years ago today, Juan Mata signed for United and made the smoothest entrance you'll ever see...

The name's Mata. Juan Mata.

FB_IMG_1516857869426.jpg
 
BREAKING NEWS

Manchester United defender Axel Tuanzebe close to joining Aston Villa on loan, according to Sky sources.
 
Mpaka sasa sijajua mshahara anaolipwa Sanchez, wako wanaosema ni 350k wengine ni 400k wengine ni 500k na wengine ni 600k.
Kila mtu anajiandikia mshahara wake jambo linalofanya hizi habari zisiwe za uhakika.
mkuu zinapokuja habari za Man u waandishi wengi wanapenda kuandika negative ili wapate watembeleaji wengi. wachezaji wa chelsea, arsenal na timu nyengine utatajiwa mishahara yao tu ila wa man u kila kitu utakijua na watatia chumvi mpaka lionekane kama jambo baya hivi.

Mshahara halisi wa sanchez ni pound 350,000 kwa wiki, inafika hadi hio 600,000 unapojumuisha mambo mengine kama image right, na image rights anaepata faida ni club na sio mchezaji. hivyo man u wamemalizana na sanchez kwenye hizo image rights ili warudishe hela zao na wao.

How are player image rights managed in football?

soma hapo kuzifahamu vizuri.

Man u ni brand kubwa mchezaji yoyote akija pale umaarufu wake unaongezeka maradufu na anapiga hela nyingi kushinda huo mshahara kwenye matangazo tu. ndio maana Kina Ronaldo unakuta mshahara ni kama robo tu ya mapato yake.
 
Mourinho: "Alexis changed from a fantastic club to a giant club & Mkhi changed for a fantastic club, so was a great deal for everybody. Alexis can play everywhere, in the attacking positions."
 
Mourinho: "I believe Mkhi will be even better than he was with us, it's a good move for everybody, I'm also happy for Mkhitaryan, could I have got more from his talent? Maybe, could he have given a little more to adapt to us? Maybe."
 
Pogba yuko vizuri sana kibiashara wasiwasi wangu ni kwamba sioni ni vipi alexis atatengeneza hela nyingi kwenye timu kumzidi pogba anavyotengeneza ukilinganisha na kiwango cha hela anayopata (hapa ni kama endepo moja ya sababu ya kumnunua ni ya kibiashara)
Man utd ina vichwa vya biashara mzee baba,subiri usikie mauzo ya jezi tu ndo utajua namaanisha nini.
 
Jose Mourinho said:

“I am really honoured and proud to be Manchester United manager. I would like to say a big thank you to the owners and to Mr Woodward for the recognition of my hard work and dedication. I am delighted they feel and trust that I am the right manager for this great club for the foreseeable future.

“We have set very high standards - winning three trophies in one season - but those are the standards I expect my teams to aim for. We are creating the conditions for a brilliant and successful future for Manchester United.

“My thanks, of course, go to my staff and to my players; without their empathy and friendship this wouldn’t be possible. I love my players and it is a pleasure to know that we are going to be together for at least the next three years.

“And I cannot finish without thanking the fans for their support and for making me feel at home so quickly. I repeat, to be Manchester United manager is an honour every day and I am really happy.”
 
Speaking of the new contract, Ed Woodward said:

“Jose has already achieved a great deal as Manchester United manager and I am delighted that he has agreed to extend his commitment until at least 2020. His work rate and professionalism are exceptional and he has embraced the club’s desire to promote top quality young players to the first team. He has brought an energy and a sense of purpose to everything that he does and I am sure that will continue to bring results for the fans and the club.”
 
Back
Top Bottom