mkuu,umeoa?hivi mkeo kila mara wakati wote akiwa anaongea udhaifu wako tu utakuwa unamfurahia???yaani mke haongei mazuri kabisa kuhusu wewe mumewake utamfurahia huyo mkeo??unadhani hapo shida itakuwa kuongea udhaifu ama kutokuona mazuri nayo akayaongelea??yaani yeye udhaifu tuuuuuuu utamfurahia huyo Mkeo??