Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
HolAAAA!!! Graçiàs hombré !!!!!!!Ozil hatma yake ni mwisho wa msimu na huenda akaondoka bure kama hataongeza mkataba,Sanchez anaondoka hii January
Asante kwa taarifa...
HolAAAA!!! Graçiàs hombré !!!!!!!Ozil hatma yake ni mwisho wa msimu na huenda akaondoka bure kama hataongeza mkataba,Sanchez anaondoka hii January
Jidanganye.....Sisi tuna pesa na tunashiriki UEFA, tunayemtaka anakuja...
Nyie endeleeni kusema hamna maden sisi tunabeba makombeNyamafuuuu!!! Jidanganye.....
Wanakuja wazee ka ibra na flops ka mikhi...
Makombe gani hayo???!!!Nyie endeleeni kusema hamna maden sisi tunabeba makombe

Nmekupata Vema Mkuu BeloJose hakuwa na mpango wa kusajili mchezaji January lakini Mikhi alivyochemsha na kusikia Sanchez anapatikana ikabidi Mourinho amshawishi aje United ili amsaidie sijui plan zake za mwisho wa msimu but Mourinho bado ana power ya kuwashawishi wachezaji na klabu ina fedha.Recently United imesajili wachezaji nje ya EPL wengi wamepata taabu sana kuadapt EP (Depay,Di Maria,Mikh,Darmian,Blind,Lindelof) na kuizoea timu so ni bora kusajili mchezaji kutoka timu za EPL kuliko kama anapatikana kuliko kutoka nje ya EPL ukiacha Sanchez hata Mahrez ni winga mzuri na ana uzoefu na EPL.
Mwezi unakuhusu nini?Umejiunga mwezi wa 12 kwa hiyo hizo lugha kwako lazima ukizoea jf utapunguza mihemko
Lazima uchunguze ukuaji wa mtoto akiwa anaota meno hua anongea lugha za ajabu wazaz tunajua ni utoto akikua ataacha tuMwezi unakuhusu nini?
Mourinho ni msukuleLazima uchunguze ukuaji wa mtoto akiwa anaota meno hua anongea lugha za ajabu wazaz tunajua ni utoto akikua ataacha tu
Atakuwa kakukuna kisawasawa si kwa kuweweseka nae huko by the way ana mke na nna kupuuza wewe sio level yanguMourinho ni msukule
hayo nayo ni makombe....mwaka jana tu hio
![]()
![]()
![]()
bado mwaka huu.
Hapana sio makombe ni mabakuli.hayo nayo ni makombe....
ndiyo hayo ni mabakuli....Hapana sio makombe ni mabakuli.
Yape jina jingine unaloona linafaa.
Sawa tumekubali, una jingine?ndiyo hayo ni mabakuli....
Nimecheka sanaHapana sio makombe ni mabakuli.
Yape jina jingine unaloona linafaa.
Hivi ni official jamaa amesign?habari ya mwaka 2010 kabla sanchez hajahamia barcelona
Chile starlet Alexis Sanchez has heart set on dream Manchester United move - report | Goal.com
bado sio official. na inawezekana hata asije.Hivi ni official jamaa amesign?
Wewe timu gani kwanza?Walewale2 hata mumsajili nani![]()
![]()
kwan mlishasajili wangapi??
![]()