Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

9296550febead3b5786bcc1a1c07afc7.jpg
 
Ewe mwenyezi mungu mtukufu uliyeumba viumbe kama vile faru john,nguruwe, nyumbu, twiga,nyoka,dudu mbuyu,jongoo, kobe na funza.
Pia kwa uwezo wako umewaumba binadamu kama vile darmian,blind, fellaini na wengineo kwa uwezo wako tunakuomba umjaalie alex sanchez kwa moyo wake mkunjufu akubali kusajiliwa manchester united.
 
Big chances missed in the Premier League this season (Top 5 Players)

1. Mohamed Salah - 15
2. Alvaro Morata - 14
3. Sergio Aguero - 12
4. Christian Benteke/Gabriel Jesus - 11
But hey, let’s stick to narrative & say it’s Romelu Lukaku bottling the chances!
 
Advantage ya Sanchez ni kwamba anaweza kucheza nafasi nyingi za ushambualiaji (left wing,right wing & striker) na ni mfungaji mzuri ,baada ya kuumia last season Zlatan hawezi kurudi kwenye form yake so automatically kuna game Sanchez atacheza kama striker.Kwa mtazamo wangu Sanchez ni better option ukilinganisha na target nyingine Bale au Griezmann
 
Next season tunahitaji fullback(right & left) Shaw amepona now ni wakati wa kumuonyesha kocha kwamba anastahili kuongezewa mkataba.Inaonekana Fellaini,Darmian,Blind watauzwa next season Perreira inaonekana hataki kurudi tena United na Carrick atastaafu so tutahitaji at least viungo 2
 
Advantage ya Sanchez ni kwamba anaweza kucheza nafasi nyingi za ushambualiaji (left wing,right wing & striker) na ni mfungaji mzuri ,baada ya kuumia last season Zlatan hawezi kurudi kwenye form yake so automatically kuna game Sanchez atacheza kama striker.Kwa mtazamo wangu Sanchez ni better option ukilinganisha na target nyingine Bale au Griezmann
Paulo Dyabala vipi Mkuu??

Namwelewa sana Jamaa

Iwapo Alexis atakuja,, je Kuna haja ya kumnyatia tena Mesut Ozil??

Nani hasa anapaswa kuja ili tupate ubora wa Double P??
Paul Pogba namuelewa toka akiwa kijana mdogo..

Yule Verrati,, ama Savic au Sauli wanatufaa sana shida upatikanaji wao..
 
Sign Sanchez bila kumuacha Lucas Moura anayepatikana kwa bei ya kutupwa hakika itapendeza na tutatisha sana!
 
Advantage ya Sanchez ni kwamba anaweza kucheza nafasi nyingi za ushambualiaji (left wing,right wing & striker) na ni mfungaji mzuri ,baada ya kuumia last season Zlatan hawezi kurudi kwenye form yake so automatically kuna game Sanchez atacheza kama striker.Kwa mtazamo wangu Sanchez ni better option ukilinganisha na target nyingine Bale au Griezmann
Vipi kuhusu ozil mkuu, mimi naona ozil is the best!
 
Paulo Dyabala vipi Mkuu??

Namwelewa sana Jamaa

Iwapo Alexis atakuja,, je Kuna haja ya kumnyatia tena Mesut Ozil??

Nani hasa anapaswa kuja ili tupate ubora wa Double P??
Paul Pogba namuelewa toka akiwa kijana mdogo..

Yule Verrati,, ama Savic au Sauli wanatufaa sana shida upatikanaji wao..
Jose hakuwa na mpango wa kusajili mchezaji January lakini Mikhi alivyochemsha na kusikia Sanchez anapatikana ikabidi Mourinho amshawishi aje United ili amsaidie sijui plan zake za mwisho wa msimu but Mourinho bado ana power ya kuwashawishi wachezaji na klabu ina fedha.Recently United imesajili wachezaji nje ya EPL wengi wamepata taabu sana kuadapt EP (Depay,Di Maria,Mikh,Darmian,Blind,Lindelof) na kuizoea timu so ni bora kusajili mchezaji kutoka timu za EPL kuliko kama anapatikana kuliko kutoka nje ya EPL ukiacha Sanchez hata Mahrez ni winga mzuri na ana uzoefu na EPL.
 
Back
Top Bottom