Bora uongee na wewe pengine utaeleweka!Acha ujinga wewe kama vitu hujui kama kimya , Paul scholes ni muajiriwa wa kituo cha television cha BT sport pale England kama Football pundit ,sasa asiongee . Kuongea ndio kazi yake , Same To Rio Ferdinand na Lampard...
Huwa husikii anavyoongea Thiery Henry pale Sky sport....
Hao uliowataja wapo kimya kwa sababu hawafanyanyi kazi za uchambuz wa mpira.
Nevile yupo Pia Sky Sport, hizo ndio kazi zao hawarembeshi.
Hizi takataka za nini?wangeziacha zisepe bure tulete vitu vipya aisee
Ha ha ha ha ha mi nimecheka sana jamaa alivyokomenti kwa hasiraDuh! kauli kali sana hii khaswa kwa united mwenzetu hawa watu kwa nyakati tofauti wametuokoa sasa kuwaita taka taka huwatendei haki najua pana wakati ulishangilia moja ya vitu vyao vizuri.
Hyo ni kinga tu walojiwekea ila wakihitaji kumuuza utashangaa watapunguza hadi £80 na kitu au 70 na kituRelease Clause ya CR7 ni € 1 bilioni, hakuna timu itakayoweza kutoa hiko kitita.
Yani umnunue Rinaldo kwa £70m hiyo biashara kichaa aiseeHyo ni kinga tu walojiwekea ila wakihitaji kumuuza utashangaa watapunguza hadi £80 na kitu au 70 na kitu
Kk apo mata pekee ndiye tunaemuitaji,ao wengine toa burendugu mbona umejawa na hasira hivyo? Mi naona Herrera na Young bado wana msaada kiasi flani. Mata bado tunamhitaji asee
Siyo lazima wamuuze bei hyo elewa hata content yangu ndugu,cna nia mbayaYani umnunue Rinaldo kwa £70m hiyo biashara kichaa aisee
Ha ha ha ha young huwa cmpendi ila sasa hivi anajitoa sana aseeKk apo mata pekee ndiye tunaemuitaji,ao wengine toa bure
Sema wakati mwingne mchoyo sana wa pasi mpaka anaboaHa ha ha ha young huwa cmpendi ila sasa hivi anajitoa sana asee
Mimi kwangu huwa sikwepeshi Blue ni blue, nyeusi ni nyeusi na kama wewe ni mjinga huwa sipindishi kukuita mjinga;pamoja na ujinga wangu ila mourinho kampa nyundo moja tu pwaaa safi sana kwa hiyo cantona na kean walivyokuwa wanakosoa sera za usajili au maradoma alipowaambia madrid wamsajili mbape nao wameajiriwa na hivyo vituo?
ila huwa sipend kukuqoute mana najijua kwa lugha unazotumiaga huwa sipend uniquote wala mm kukuqoute nafikir hii ndo mara ya mwisho nimelazimika kwa sababu maalumu.
Acha uongo Paul scholes huwa halembeshi kuanzia kwa David Moyes , huyo David Moyes, Felaini, Mata wameshapata Joto yake Manchester United boss David Moyes refuses to slate Old Trafford legends' criticismNakumbuka kipindi cha David Moyes hawa hawakufungua mdomo mpaka Moyes anatimuliwa. Lakini alivyokuja Van Gaala walianza kumponda sana na Mourinho na yeye wanamponda, ukiangalia wachezaji wetu wanaopondwa ni wawili au watatu.
Pogba, Lukaku na Martial, sijawasikia Rashford akipondwa kwa kukosa nafasi za wazi.
Nakumbuka 2012 Gary Neville aliletewa noma na Babu baada ya kumpiga mdomo David De Gea, pia Roy Keane alitimuliwa na Babu baada ya kuwapiga mdomo wachezaji wenzake.
Man United haina tabia ya kumvumilia yeyote anaepiga wachezaji wake mdomo, timu iko kulinda wachezaji wake.
Halafu hawa jamaa wana hasira sana baada ya Ed Woodward kuwakataa kwenye timu, Scholes alitaka kuwa kocha wa under 23’s lakini alikataliwa, Giggs alitaka kuwa kocha mkuu lakini alikataliwa tokea hapo ni mara chache sana anaiongelea Man United vizuri.
Mimi kwangu huwa sikwepeshi Blue ni blue, nyeusi ni nyeusi na kama wewe ni mjinga huwa sipindishi kukuita mjinga;
Ingia hapa uone gigs alivyomponda Van Gal kuwa alimwambia na kumshauri awasajili Mbape na Gabriel Jesus >>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>> Ryan Giggs says he advised Manchester United to sign Kylian Mbappe and Gabriel Jesus
Kwa wenzetu kutoa maoni ni haki ya kikatiba, scholes katumia haki yake ambayo yupo entitled kikatiba ilimradi havunji sheria.
Halafu kama hutaki kuwa Quoted kaanzishe jamii forum yako uwe unadiscuss topics na mkeo ndio utakuwa una mamlaka ya kumkataza asiku-Quote ila hapa ni Bampa to Bampa, Jiwe kwa Jiwe.
Ukiongea Mazuri utaambiwa ukiongea Pumba utaambiwa pia , hivyo hivyo Mimi pia.
GGMU
Narudia Tena na Tena Ikibidi tunzeni haya maneno ,
Manchester United chini ya Mourinho haiwezi kufika popote, Mbinu za mourinho zipo outdated.
Scholes anafanya kazi yake (mchambuzi) analipwa kwa hiyo kazi na Mourinho anafanya kazi yake (to manage Manchester United & protect his players) analipwa na kazi ya uchambuzi ni nyepesi kulinganisha na ukocha ndio maana Garry Neville alisema hatakuja kufundisha tena sokaAcha uongo Paul scholes huwa halembeshi kuanzia kwa David Moyes , huyo David Moyes, Felaini, Mata wameshapata Joto yake Manchester United boss David Moyes refuses to slate Old Trafford legends' criticism
Kamuulize Dogo wa arsenal alichofanywa na scholes.
Muda mwingine muwe mnatumia akili
Unajiona ulivyo mweupe kichwani nani kakwambia kuwa na contract ndio Sababu ya kutofukuzwapamoja na maoni ninachoshukuru mourinho kamnyoosha next time ataacha shobo kwenye kazi za wanaume wanaume wenye shobo ni kuwapa za uso tu by the way
utaendelea kuqoute kimpango wako mara sijui mourunho atoke ndo kwanza wanampa kandarasi mpya wenye timu na bod wameona kazi yake wenye shobo na ujuaji pigeni madebe tu
kwa kumalizia hapa hamna tulipojadili sijui giggs kumponda vana gal amasajili mbape yeye alichosema kuyumba kwa timu ni ubovu wa makocha wawili waliopita fukuzafukuza hajasema habar za mourinho mbovu
na wakimsema mourinho nnachompenda ni nyundo tu kama trump.
malizia huko chini kwenye maelezo yake yeye,bodi na mkurugenzi.
hapo nshamaliza labda uhamie city ukamuunge mkono pep
" Siondoki United " - Mourinho
Jose Mourinho amesema kwamba amejikita Manchester United na anataka kubaki Man United kwa zaidi ya mkataba wake wa sasa.
Mourinho kwa sasa yupo katikati ya mkataba wake wa miaka mitatu ambao aliusaini mwaka 2016 kuchukua nafasi ya Louis van Gaal.
Mazungumzo kuhusu kuongeza mkataba yalianza mwezi Oktoba baina ya wakala wa Mourinho , Jorge Mendes na Man United.
Alipoulizwa kuhusu mustakabali wake, Mourinho alizielezea taarifa za kwamba ataondoka mwishoni mwa msimu huu kuwa ni ' Takataka ' na ni juu ya Man United kuamua kubaki kwake Old Trafford.
" Kama unataka kuniuliza mimi moja kwa moja kama najiona kuwa Man United msimu ujao , basi nasema kwamba najiona kuwepo hapa msimu ujao ."
" Kama nilivyosema nilipowasili hapa , nitaondoka pindi klabu itakapotaka niondoke, kwasababu sina nia ya kuondoka hata kidogo."
" Lengo langu ni kubaki na kufanya kazi na kuboresha na kuirejesha klabu pale inapostahili."
" Na nataka kubaki, sioni sababu yoyote ya kutotaka kubaki. Bado nina mkataba. Na ndio kwanza nipo katikati ya mkataba wangu. Sipo katika miezi michache ya mwisho."
" Matamanio yangu ni kubaki mpaka pale Wamiliki na Bodi wakiwa na furaha na kazi yangu."
" Nipo katikati ya mkataba wangu. Kama nitasaini mkataba mpya bila shaka hiyo inategemea na klabu, lakini kujikita kwangu ndani ya klabu ni asilimia mia na nataka kubaki."
Pindi alipoulizwa kama anataka kubaki United zaidi ya mkataba wake wa sasa, Mourino alisema," Ndio najiona kubaki hapa zaidi."
" Ni swala la Wamiliki, Bodi ya Wakurugenzi na Ndugu Woodward wana furaha na mchango wangu na wanataka mimi kubaki zaidi ya mkataba wangu wa sasa . Lakini ndio nataka kubaki."
No doubt I'm now wasting my time with fuckin insane...
Ferguson mwenyewe aliwahi kukalia kuti kavu kutimuliwa ingia hapa Fergie's winter of discontent
Kilichombakiza ni matokea Tuuuuuuuuuu... Amini usiamini kitakacho mbakiza Mourinho ni matokeo na sio hizo taarabu unazoniwekea hapa. Tunza hii comment yangu
Duuuu!!Mimi kwangu huwa sikwepeshi Blue ni blue, nyeusi ni nyeusi na kama wewe ni mjinga huwa sipindishi kukuita mjinga;
Ingia hapa uone gigs alivyomponda Van Gal kuwa alimwambia na kumshauri awasajili Mbape na Gabriel Jesus >>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>> Ryan Giggs says he advised Manchester United to sign Kylian Mbappe and Gabriel Jesus
Kwa wenzetu kutoa maoni ni haki ya kikatiba, scholes katumia haki yake ambayo yupo entitled kikatiba ilimradi havunji sheria.
Halafu kama hutaki kuwa Quoted kaanzishe jamii forum yako uwe unadiscuss topics na mkeo ndio utakuwa una mamlaka ya kumkataza asiku-Quote ila hapa ni Bampa to Bampa, Jiwe kwa Jiwe.
Ukiongea Mazuri utaambiwa ukiongea Pumba utaambiwa pia , hivyo hivyo Mimi pia.
GGMU