Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Consistency ya lingard bado tunasubir na mwakan tumwekee akiba ya maneno ila namba kupata itakuwa changamoto kubwa naona kama watasajili tena watu akifikisha goli kumi atakuwa kajitahid sana msimu huu pia rashford naona uchovu kacheza mechi nyingi sana pia nikiangalia watu anaoshindania namba hii inampoteza hajatofautiana sana watakapoleta watu wa maana akir zitawakaa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…