Acheni kuwa wasahaulifu nyie mliposhinda mechi ya Swansea mlisema ligi imeenza next mechi na blackburn mkakalia vinne, leo tena mmeona mwezi kwa Bolton 10 men mmeanza kelele na kusahau kuwa next mechi mnakutana na Spurs. Na bila kusahau hao stoke anaowashangilia watakuja wafanya kitu mbaya na beki yenu ya kuunga na mnyaaLeague ndio imeanza hivyo..Viva stoke!
Tukumbushe basi wamepata point 3 mara ngapi toka kwenu Ase8Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeChacha nani Ooops Nani ataanza inquest ya mashoga .. ... ... ..The first point since 2008 when promoted to EPL from Manure
Baada ya kushinda mechi za kwanza mliona league rahisi sana! Mlikuwa mnaona kwamba hamna timu ya kuwazuia..naona mmeangukia pua kwa Stoke. Shukuruni sana kwa kuambulia hiyo draw.Acheni kuwa wasahaulifu nyie mliposhinda mechi ya Swansea mlisema ligi imeenza next mechi na blackburn mkakalia vinne, leo tena mmeona mwezi kwa Bolton 10 men mmeanza kelele na kusahau kuwa next mechi mnakutana na Spurs. Na bila kusahau hao stoke anaowashangilia watakuja wafanya kitu mbaya na beki yenu ya kuunga na mnyaa
Sir Alex Ferguson said his side played like "real champions" in the 1-1 draw at Stoke City on Saturday.
Tatizo sio kuwaogopa FC Basel, ishu ni kwamba wachezaji watachoka wakicheza mechi nyingi mfululizo. Huwezi cheza kila baada ya siku 3 au 2 kwa kiwango cha juu so ni lazima baadhi wapumzike. Kwa jana tatizo ni pale alipoumia Chicharito babu hakutakiwa kumuingiza owen koz stoke wanapiga sana buti na owen ni muoga kuumia. Pia Park anafaa sana kucheza mechi zenye vurugu kama ya jana so kukosekana kwake pia lilikuwa ni pengo kubwaTatizo SAF aligamble katika mechi hiyo..angeweka full squad..alijua kabisa kwamba Britannia ni pagumu..FC Basel si wakuwaogopa kihivyo..angeweka full jeshi...maximum points per game katika season hii ni muhimu sana....anyway..tugange yajayo.
Itabidi tukupe kazi ya kuikoch Man Utd. Unaonekana una mbinu nyingi sana kuliko FergieTatizo sio kuwaogopa FC Basel, ishu ni kwamba wachezaji watachoka wakicheza mechi nyingi mfululizo. Huwezi cheza kila baada ya siku 3 au 2 kwa kiwango cha juu so ni lazima baadhi wapumzike. Kwa jana tatizo ni pale alipoumia Chicharito babu hakutakiwa kumuingiza owen koz stoke wanapiga sana buti na owen ni muoga kuumia. Pia Park anafaa sana kucheza mechi zenye vurugu kama ya jana so kukosekana kwake pia lilikuwa ni pengo kubwa
Sijui lini mtakuja jua mpira for Man Utd ligi tunaanza rasmi mid november, hizi goli 8, 5, sijui 3 tanazowapiga sasa hivi ni rasharasha tu.Baada ya kushinda mechi za kwanza mliona league rahisi sana! Mlikuwa mnaona kwamba hamna timu ya kuwazuia..naona mmeangukia pua kwa Stoke. Shukuruni sana kwa kuambulia hiyo draw. Sisi tunakubali kuanza league vibaya..but we are improving game after game. Red card ni part ya mchezo..
Kwa taarifa yako moja ya vitu vinavywaangusha arse8 ni kuwachezesha first 11 players mechi nyingi bila kuwapumzisha. Ni lazima kocha awe tayari kurisk some games for future plans. Sio kila mechi wachezaji walewale FA, Carling, EPL na UEFA.Itabidi tukupe kazi ya kuikoch Man Utd. Unaonekana una mbinu nyingi sana kuliko Fergie
Huwa mnaanza league vibaya..mnaibuka dec. This year mmeanza vizuri..so itakuwa tofaut na miaka mingine! Usizoee kukaririSijui lini mtakuja jua mpira for Man Utd ligi tunaanza rasmi mid november, hizi goli 8, 5, sijui 3 tanazowapiga sasa hivi ni rasharasha tu.
sijacheki game but nasikia Rooney hakucheza ... ndio maana mmeambulia point!... watani jamaa akiwa injured muda mrefu pengo lake litakuwa kubwa sana... maana game la jana ilidhihirisha man utd ni 1 man team
Huwa mnaanza league vibaya..mnaibuka dec. This year mmeanza vizuri..so itakuwa tofaut na miaka mingine! Usizoee kukariri
Wewe ndo umekariri kwa kuwa tumeanza vizuri itakua tofauti, nakuhakikishia kuwa this season ubingwa mapeema mana timu nyingine zimejichokea tu
List ya jana hii hapaKwa taarifa yako moja ya vitu vinavywaangusha arse8 ni kuwachezesha first 11 players mechi nyingi bila kuwapumzisha. Ni lazima kocha awe tayari kurisk some games for future plans. Sio kila mechi wachezaji walewale FA, Carling, EPL na UEFA.
Mnang'ang'ania watu 11 dhidi ya 10,mnataka kila siku redcards ziwe kwetu tu,ukitumia logic hiyo hata barca wenyewe bila arsenal kusalia 10 ndani huwa wanapata taabu sana.Acheni kuwa wasahaulifu nyie mliposhinda mechi ya Swansea mlisema ligi imeenza next mechi na blackburn mkakalia vinne, leo tena mmeona mwezi kwa Bolton 10 men mmeanza kelele na kusahau kuwa next mechi mnakutana na Spurs. Na bila kusahau hao stoke anaowashangilia watakuja wafanya kitu mbaya na beki yenu ya kuunga na mnyaa
Nawahurumia wikiend imefika muendelee kupata kipigo
NANI anaelekea huko ,angalia hizi statistics kati yake na CR7He can't go further than 3 stars! Au kwa sababu amekwambia anatamani kuwa kama Ronaldo na Messi?!
NANI anaelekea huko ,angalia hizi statistics kati yake na CR7
Manchester United - Nani treads a familiar path to Cristiano Ronaldo at Old Trafford | Give Me Football