Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Half tym....Nani ni soo....Jamaa anajua sana......Goli zuri sana....
 
Hahahahahaaaaaaa......... Unamtafuta manda Ubaya sasa....
Umeona ehhh! hahaha! naona zile tatu za last wiki zinamlevya bado....

Peasant
Unadhan 5* players n lazima wawe pensionars kama wenu wale wa darajan?
 
Thats a come back.......may be you guys will win.... Wish u luck... I gat to get undercover.........Its 1-1....
 
Umeona ehhh! hahaha! naona zile tatu za last wiki zinamlevya bado....

Peasant
Unadhan 5* players n lazima wawe pensionars kama wenu wale wa darajan?


Sikiliza ndugu yangu, tukiacha ushabiki na kuwa realistic, hakuna 5 five star players kwenye ligi ya England. Walikuwepo zamani, na wote walikuwa mabeki. Hii ligi ni nzuri kwa ushindani lakini sio skills, tulionao ni wengi wao ni potential 5 stars na sio established 5 stars. Kama utamwita Nani 5 stars, then hii ligi itakuwa nao at least 30 5 star players, wakati ki-ukweli duniani kwa sasa hivi wako kama 10 tu (naongelea active players)!
 
Inter Milan wanaua mtu huku, come on Claudio " Tinkerman" Ranieli.
 
Sikiliza ndugu yangu, tukiacha ushabiki na kuwa realistic, hakuna 5 five star players kwenye ligi ya England. Walikuwepo zamani, na wote walikuwa mabeki. Hii ligi ni nzuri kwa ushindani lakini sio skills, tulionao ni wengi wao ni potential 5 stars na sio established 5 stars. Kama utamwita Nani 5 stars, then hii ligi itakuwa nao at least 30 5 star players, wakati ki-ukweli duniani kwa sasa hivi wako kama 10 tu (naongelea active players)!

Unaweza ntajia ao kumi..au chuna kwanza...tuchek mpira...siku nyngne tutajadili hili.
 
Duh! ukiona ad SAF kasimama ujue manure maji ya shingo..
 
Back
Top Bottom