Mourinho is responsible (tactics) kwa haya yanayotokea hali ikiendelea hivi hakuna atakayemtetea but the way wachezaji wanavyocheza(attitude) yao ni wachache sana wanadeserve kuchezea hii timu hata angekuwa kocha gani.Hii timu akija kocha mwingine nae atafukuzwa kwa wachezaji hawa cycle itakuwa inaendelea