Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu yetu haiitaji panguapangua kama ya man city unayoisema wewe ..kuna baadhi ya wachezaji tu wachache inabidi waondolewe kama darmian,blind,zlatan,carrick na wengine wachache waongezwe ili kuimarisha timu...

Mchezaji kama sterling msimu uliopita alikuwa anataka kuuzwa,ila msimu huu amengaa,na ni mchezaji tegemeo..what if angeuzwa msimu uliopita...mfumo na the way kocha unavyowatreat wachezaji ndivo inawafanya wawe bora

Nimeona umesema kuwa liverpool wana mtu kama mane..hivi mane yupo kwenye peak kama ya msimu uliopita?..si vibaya kabisa kusema ameflop msimu huu..

Hivi john stones anamzidi uwezo baily?..kompany anachomzidi jones ni nn?

Una pogba ambaye anatakiwa awe anafanya anachokifanya De bruyne

Una matic,lukaku,mata,valencia,martial,lingard,baily,jones,young,de gea(kipa bora kabisa),...kwa hakika timu hii angepewa pep ingekuwa bora kabisa..
Hao wachezaji uliowataja wamecheza mechi ngapi msimu huu???


Kubalini tu mourinho mbinu zake zimeisha
 
26167622_10155397382057746_8206242045051251854_n.jpg
Halafu Joel na de gea kama wanataka kufanana hivi..
 
Mtoe Ashley young na Rashford kwenye hiyo list
Hukunishauri ninavowaweka huna mamlaka ya kuniambia niwatoe.
Alinyimwa hela ya kusajiri?? Alikatazwa kusajiri?? Muda mwingine muwe mnatumia akili
Kama una uwezo wa kuingia jf nina imani una akili ya kukutosha kabisa hata kuingia mitandao mingine usiishie kusikiliza story za whatsaap!

Unajua mourinho alikua anahitaji wachezaji wangapi na amewapata wangapi? Unajua chaguo lake la kwanza walikua ni wachezaji gani? Hivi unajua katika wachezaji aliokua anawataka ni Pogba peke yake ndie alikua chaguo la kwanza?
 
huyu sikuwahi kumpenda toka yupo timu yetu na ndie alinifanya nimpende messi baada ya kuhamia real madrid
26001392_10156034513298598_4446388691961243001_n.jpg
 
Great for Guardiola and Kane, not so much for Mourinho and Wenger...

Some enjoyed Boxing Day 2017 more than others, it's safe to say
25994976_10156027692573598_4348763272798448468_n.jpg
 
Manchester United XI (4-2-3-1): De Gea; Shaw, Jones, Lindelof, Young; Matic, Pogba; Lingard, Mkhitaryan, Mata; Lukaku

Manchester United substitutes: Rojo, Martial, Blind, Rashford, Romero, Herrera, Tuanzebe
 
Back
Top Bottom