Manchester United (Red Devils) | Special Thread

teh! teh! mou tuachie timu yetu wachezaji hawako creative kabisa






nitaendelea kumpinga huyu jamaa its better atuachie timu
10 mens still wanarudisha goal hakuna ubunifu wowote


usiku mwema wapendwa
 
Watu wanamlaumu sana kocha but wachezaji wengi wanacheza chini ya kiwango na wanacheza wameridhika kuvaa jezi ya Manchester United lakini wanashindwa kuipigania
 
Mourinho should Leave the club Asap.

Najua mtasema na kuja na sababu kibao za wachezaji kuwa hivyo ila Kwenye football MTU ambae yuko responsible for any result ni Mwalimu....



Uwezo Wa kocha Wetu umeishia hapo
 
Kuna watu nliwaambia hapa ligi ishaisha hii ss hv limebaki bonanza tu wakabisha haya sasa oneni.

Game ya pili hii watu wanatuweka dk ya mwisho. Baada ya hapo mou atakuambia wana bahati. Wtf is wrong with mufc
 
Tunaitahitaji wachezaji kama 4 kama Matic ndio team itafanya vizuri. Leo ndio tumemaliza msimu tusubiri msimu ujao tujaribu
 
Mamaeeee 2-2

Muo na mchezo wake huu wakipuuzi saana dah
 
Leo namlaumu Jose, poor tactics. Mna one man advantage, halafu unaacha timu iliyo pungufu ikae na mpira!!
Pole chief...mnahitaji Timu zingine kumsimamisha Opponent wenu hamna namna....

The same muwe na winning steak ya game kama 10 hivi kuwakamata

Otherwise kuna kazi sana
 
Watu wanamlaumu sana kocha but wachezaji wengi wanacheza chini ya kiwango na wanacheza wameridhika kuvaa jezi ya Manchester United lakini wanashindwa kuipigania
Nani anapaswa kuwafanya wachezaji wacheze kwa morali ???? Acheni kumkimbiza Mwalimu kwenye allegations zake....


Mourinho ni Kanjanja anapokutana na upstair coaches, kwa mbinu zake sioni kama atampiku Guardiola.... Haiwezekani Uko mbele 2-1 na advantage ya red card unashindwa kumaliza game.


Tatizo la Manchester United Ni kocha Kubali kataa
 
Kwa gap hili katika Christmas, City ni ngumu kukutwa 13 points? City yeye anashusha mvua tu. Ngoja tuone mzunguko wa pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…