Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hodi hodi naingia.
Salaam mashabiki wa man u.
Poleni kwa kipigo.maana mpira hamjui.
Watoto wa mchangani.wamewatoeni jasho.
Man u sio team.bora mkacheze rede
 


mnabishana bure tu mourinho uwanja wa nyumbani kautendea haki huwezi kwenda mechi 40 bila kufungwa halafu ukatumbia kuna timu inakuja kuwaza kiurahisi kuondoka na point 3 old trafford utakuwa unatudanganya na kuwafurahisha ant united hata kama city kafungwa goli 7 ni mkali nyumban kwake united goli 3 nani kafanya vizur hapo ingekuwa kitakwimu?
 
Hodi hodi naingia.
Salaam mashabiki wa man u.
Poleni kwa kipigo.maana mpira hamjui.
Watoto wa mchangani.wamewatoeni jasho.
Man u sio team.bora mkacheze rede


hilo kombe manchester united hafikish hata mara 20 kulibeba unataka kutuambia alikuwa anatolewa na timu zilizopo top 3? kabla ya ujio wa mwarabu wa city.
 
Timu yetu sijui iko na shida gani.

Ibra sijui aliongezewa mkataba wa nini.

Nimegundua kwa nn msimu uliopita zile suluhu zilitokana na nini huyu ibra ni tatizo kubwa mno waliokuwa wakimponda Lukaku watie akilini hawez hata kuwaangushia mipira wakina martial na rashford lakin lukaku unaona anavyorahisisha maisha ya lingard,rashford na martial.


ktk usajili tuliofanikiwa ni wa Lukaku hakika nawaambia.
 
Mourinho kweli hamna kitu


Mnanichekesha sana hivi msimu uliopita alipobeba hili kombe top 6 hazikuwepo au zilitolewa zote na manchester united?

tunacheza mechi ya lig ifuatayo na leicester city tena nyumbani kwake kocha afanyanyaje nyuma chelsea point 3 mbele city point 11
 
Mnanichekesha sana hivi msimu uliopita alipobeba hili kombe top 6 hazikuwepo au zilitolewa zote na manchester united?

tunacheza mechi ya lig ifuatayo na leicester city tena nyumbani kwake kocha afanyanyaje nyuma chelsea point 3 mbele city point 11
Acha ujinga wewe hiyo mechi ya Leicester city tutacheza upuuzi mtupu mpaka utajidharau..

Mourinho hana plan B zaidi ya kulinda tu ...


Ni time ya yeye kusepa
 
Acha ujinga wewe hiyo mechi ya Leicester city tutacheza upuuzi mtupu mpaka utajidharau..

Mourinho hana plan B zaidi ya kulinda tu ...


Ni time ya yeye kusepa

Tumia lugha nzur toa wazo lako bila kashfa
 
Acha ujinga wewe hiyo mechi ya Leicester city tutacheza upuuzi mtupu mpaka utajidharau..

Mourinho hana plan B zaidi ya kulinda tu ...


Ni time ya yeye kusepa
Mashabik wa manchester bana ila siwez kukushangaa ndivyo tulivyo watanzania.
 
Mourinho bwana, hata kwa statistics hizi bado anasema hao vijana wa mchangani walikuwa na bahati sana na Man U hawakuwa na bahati tu. Mwalimu wetu asipende kutafuta huruma kwetu mashabiki. Kama timu haiko vema aseme tu, siyo anakosoa wachezaji na hapo hapo anasema wapinzani walikuwa na bahati sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20171221-074156.png
    11.3 KB · Views: 28
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…