Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna anachojua zaidi ya kupaki basi na kusubiri counter attack
 
Mourinho ni Mteja wa guadiora huwa anapigwa hadi sana fuatilia head to head wakikutana huwa nini kinatokea?
 
Kwa Arsenal tu hawa vibonde alipark semitrailer. Kwa City atatupia meli tatu kabisa. Dawa ni kumatch style ya City kwani hata Mourinho ana wachezaji wenye uwezo huo. Tatizo lake hana guts hizo.
 
Kwa Arsenal tu hawa vibonde alipark semitrailer. Kwa City atatupia meli tatu kabisa. Dawa ni kumatch style ya City kwani hata Mourinho ana wachezaji wenye uwezo huo. Tatizo lake hana guts hizo.
hahaaha tena meli itakayo kuwa jirani na kipa inaitwa
sea monster.
cha msingi apaki na man u ishinde hayo mengine mtajua ninyi
 
Mourihno bila shaka itakuwa ndiyo akili yake. Pep awe na plan B
 
hata dawasco wakitaka kukata maji hawatembelei nyumba hadi nyumba na kufunga mabomba, just wanafunga bomba kuu na nyumba zinakosa maji.

hapo silva na de bruyne ndio wapishi wakubwa, ukikamata hao waliobakia watapata tabu kucheza sababu wao wanataka wapikiwe then wafunge.
Uko sahihi sana joh
 
Back
Top Bottom