Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

that was beyond FABULOUS.... Nani yule??? NANI??? Yes Nani..... BONGE LA GOLI...... Siipendi MANURE but that goal was not only FANTASTIC but also COCASTIC.......................hahahahahahaaaaaa.....
 
that was beyond FABULOUS.... Nani yule??? NANI??? Yes Nani..... BONGE LA GOLI...... Siipendi MANURE but that goal was not only FANTASTIC but also COCASTIC.......................hahahahahahaaaaaa.....

Maodngo ya mbali kama haya ndio tuna kosa kwenye timu yetu mkuu. Yanasaidia sana.
 
Waache MANU waende zao...Wanatisha! wakiendelea hivi wanaweza kuukwaa ubingwa February 2012 miezi mitatu kabla ya msimu kwisha....That was a classic goal.
 
Waaaaaaaaaaat a goooooooooooooool! embutupen sifa Nani....bomba la goli...bado Ya Runi.


Rooney, Chicharito, Young bado hawajaona nyavu bado, sijui nani ataondoka na Mpira kwapani leo hapa!
 
kwa hili goli hakyamungu Nani is a dire of dreaming far..... Noma.... PC hata hakuliona lilipopitia..............Kudadadeki.....
 
Maodngo ya mbali kama haya ndio tuna kosa kwenye timu yetu mkuu. Yanasaidia sana.

Sure mazee... After all sidhani kama ni policy ya AW kushoot.... koz kuna watu walikua wanashoot aibu...lakini kufika Arsenal tu kwishney.... Sijamaliza kuandika la 3.......
 
duuuh la 3 , hawa jamaa nao wapigeni 8 basi hili aibu iende kwao pia lol.

Mkuu Peasant sijui atajificha wapi.
 
Dah! Hii mechi imekwisha kabla hata ya HT!!!!! AIBU!!!
 
Sidhani kama kuna haja ya kuendelea na ligi,hawa FA bora watupe kombe letu kabisa
 
Sure mazee... After all sidhani kama ni policy ya AW kushoot.... koz kuna watu walikua wanashoot aibu...lakini kufika Arsenal tu kwishney.... Sijamaliza kuandika la 3.......

Umestukia kwamba Wenger amewakataza kushoot , ajabu sana wachezaji wengi wakija wanabadirika .
 
that was beyond FABULOUS.... Nani yule??? NANI??? Yes Nani..... BONGE LA GOLI...... Siipendi MANURE but that goal was not only FANTASTIC but also COCASTIC.......................hahahahahahaaaaaa.....

Addition of one msamiati kwa my vocabulary: COCASTIC...hahahahaha! asante Quest...thy was MANDASTIC aiseeee...kama enz zangu nikiwa Lipuli ya Iringa! lmao!
 
Addition of one msamiati kwa my vocabulary: COCASTIC...hahahahaha! asante Quest...thy was MANDASTIC aiseeee...kama enz zangu nikiwa Lipuli ya Iringa! lmao!

Sure mwanaa...... mnagawa dozi mbaya.... Kwa jinsi mnavyocheza tena with this young Strong team kama mapenzi yangekuwa machoni basi kila mtu angekuwa mashabiki wa Man Utd...... Ni noma... Hongereni sana man.....
 
Back
Top Bottom