mkuu mbona mi nazipata link kama inavyo onesha hapa?Inaleta kujirejistaa alafu cjui credit card sasa nayatoa wapi
Jones ,Baily ni majeruhi sasa unataka kocha ampange Zlatan kama centre back ?
Mkuu ukisema Mata hauwezi mziki wa wa kucheza uwanja mzima utakuwa umeamua kudanganya tu au umeamua tu kusema hivyo kutokana na kwamba tunaongoza bao tatu mpaka sasa...Lingard anacheza robo tatu ya uwanja making things happen...Mata hawezi huu mziki, ni mzuri technically ila inabidi kuwe na wahangaikaji wengine.
Mata huwa anapangwa na still timu inastrugle,Game ya Huddersfield Mata alipoteza mpira jamaa wakafunga goli la pili.Kwenye professional football ukipewa nafasi itumie ukizembea unapigwa benchMkuu ukisema Mata hauwezi mziki wa wa kucheza uwanja mzima utakuwa umeamua kudanganya tu au umeamua tu kusema hivyo kutokana na kwamba tunaongoza bao tatu mpaka sasa...
Ila mimi binafsi uniambie Lingard amtangulie Mata kwasababu yoyote ile naona wazi kwamba unanidanganya (ni mtizamo wangu)
Ukiangalia sana kwa mchezo wa leo kiukweli unakuta kwa namna fulani bahati imecheza kwa nafasi kubwa kulinganisha na ufundi na mipango ya timu. Angalia kuanzia goli la kwanza mpaka la tatu. Hapo mwanzo uliongea kitu cha msingi sana kwamba Watford wanacheza mchezo wa kushambulia hivyo kutuwia rahisi sisi kufanya mashambulizi ya kushitukiza hii ni kwa Magoli yote matatu ukijumuisha na goli la pili ambalo limetokana na Pogba kukokota toka katikati ya uwanja mpaka mpaka karibu na box la Watford alipowekwa chini...
Hii ndiomaana nasema kwa sehemu kubwa mechi hii imechezwa na bahati kwa upande wetu ukilimganisha na mipango na ufundi wa timu.
Yote kwa yote ushindi ni muhimu kwetu
Tulieni nyie paka Watford tuchomoe
Ile pasi aliyopewa kakosa atajilaumu sana.Lukaku anakosa sana magoli
Una chuki binafsi kwa Lingard na mapenzi binafdi na Mata, hisia zikiingia huwezi kuangalia kitu kiuhalisia. Usiku mwema.Mkuu ukisema Mata hauwezi mziki wa wa kucheza uwanja mzima utakuwa umeamua kudanganya tu au umeamua tu kusema hivyo kutokana na kwamba tunaongoza bao tatu mpaka sasa...
Ila mimi binafsi uniambie Lingard amtangulie Mata kwasababu yoyote ile naona wazi kwamba unanidanganya (ni mtizamo wangu)
Ukiangalia sana kwa mchezo wa leo kiukweli unakuta kwa namna fulani bahati imecheza kwa nafasi kubwa kulinganisha na ufundi na mipango ya timu. Angalia kuanzia goli la kwanza mpaka la tatu. Hapo mwanzo uliongea kitu cha msingi sana kwamba Watford wanacheza mchezo wa kushambulia hivyo kutuwia rahisi sisi kufanya mashambulizi ya kushitukiza hii ni kwa Magoli yote matatu ukijumuisha na goli la pili ambalo limetokana na Pogba kukokota toka katikati ya uwanja mpaka mpaka karibu na box la Watford alipowekwa chini...
Hii ndiomaana nasema kwa sehemu kubwa mechi hii imechezwa na bahati kwa upande wetu ukilimganisha na mipango na ufundi wa timu.
Yote kwa yote ushindi ni muhimu kwetu
Huyo ni mropokaji kila jukwaa.Jukwaa hili haswa kwenye thread ya timu bora Man Utd lugha hizo hatutumii mdau
mara nyingine tusiingilie maamuzi ya kocha,tuangalie tu outcomesSawa Mou ni kocha wetu ......
Lakini ule ukweli anatakiwa kuacha dharau na kejeri kwa Mata....!! Hivi Lingard anaanza vp mbele ya Mata? Hata kwa jicho la kawaida Mou anataka kumdanganya nani kwamba Lingard yuko vizuri kulinganisha na Mata??.... dharau....!!
Sawa Rojo umeshaamua acheze kushoto (back).... huyo Young anafanya nini kwenye kiungo Kwanini usimpe nafasi Herrera??
Any away yeye ndiye anayaejua zaidi na Hapangiwi.... ila inakera
GGMU GGMU GGMU GGMU
Huyo ni mropokaji kila jukwaa.
Tuache utani wakuu,,kwa lukaku tumepoteza!!!