Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Safi sana Anthony, nimeipenda sana hii kauli, kuna watu huwa wananilazimisha kujichanganya sana na watu na ku-smile wakati si asili yangu. Huwa siwasikilizi kwa sababu nitatumia nguvu nyingi ku-act maisha, it's better to be who you're regardless to the way watu wanakuchukulia, unaweza jikuta huna amani maishani mwako. Nawapenda sana wanasoka wa majuu bila kujali timu zao, najifunza mengi sana katika maisha kupitia wao...Anthony Martial: “Off the pitch, I’m a bit shy, I don’t show my emotions that much, but I’m happy, even if you don’t see me smile, I’m still happy. Maybe on the pitch it’s because I’m focused. I’ll try and smile more, but it wouldn’t be natural if I forced it.” [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG]
Post of the yearMarcel Desailly: “He looks like he’s not really had the team he wanted, like when you compare with [Pep] Guardiola, who really chose every player he wanted in and out. Jose Mourinho, he’s still dealing with some players that he didn’t really want in his system." [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG]
