radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
![]()
Nyani haoni Kunduye........
Dadeki
kwani nae alikufunga?
![]()
Nyani haoni Kunduye........
Dadeki
Ata nyie mgetufunga mngehamia kabisa ktk uzi wetu.
Tulieni dawa iwaingie taratibu
We umekuja juzi hapa Jf ndio mana naona unatokwa na mapovu sn na lugha chafu sn.mi ningeshinda kwa mtani wangu luverpool ningehamia wewe chelsea bado sana ni sawa na ninapofungwa na hudder tu nnavyokuchukulia
Ulipoitaja Crystal Palace as to mock Chelsea for their lose did you remember that your team was fucked up in Huddskwani nae alikufunga?
Ulipoitaja Crystal Palace as to mock Chelsea for their lose did you remember that your team was fucked up in Hudds![]()
huyo jamaa ndio ananinunulia bundle au ndo mwenye hii simu?
unaongea vitu irrelevant kabisa😀
sio kwamba ni ushindi wa kwanza na si mara ya kwanza kuwafundisha mpira mazwazwa nyie nimsubiri Liver wa nini? kwahiyo ndio umeenda kutuitia Liver sio? ina maana wewe umetushindwa nashkuru kwa kuonyesha kukubali kwamba hamna mpira zaidi ya kelele tu za 4G mnapo waokota mapopoma wenzenu mwehu we.
Hili povu ukasafishie uzi wenu uliojaa mabuibui kwa kukosa wachangiaji.
Poa poa pamoja snNtunzu bana yaishe just a joke
hahahhahha juz ee tembelea post za wenzio wanachoandika mara zwazwa sijui bangi za chooni hapa sisi hatunaga hizo kauli imetubid kutunia baada ya kuona mashambulizi yenu nipo kitambo sana humu hata huko chelsea nakujaga sana tu sijawahi kumtolea mtu lugha chafu kimario na mentor hata kungurumjanja tunafanya nao mijadala tu mi Ntunzu sipendi nikukwaze kama nimekukosea sorry.
HahahahaHa ha ha! Kwani uongo Rent Boys kwa United ni a wee club tu! Kwa hiyo radika yupo sahihi kabisa.
Naona mlijiramba midomo kweli mliposhinda! Maana kile kichapo kutoka kwa wabwia unga wa Roma kilikuwa siyo mchezo!
Ya kwako nzuri inaongoza ligi?![]()