Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lakini Ni Kosa langu KukuQuote Cheap Fanboy Kama wewe... Inaonesha Wazi Hujawahi Hata Kucheza Mechi Za Mchangani...

Hivi Nyuma Ya [HASHTAG]#Morata[/HASHTAG] Kulikuwa na FABI, BAKAYOKO na HAZARD.. Hawa Ni Defensive Midfielders???

Labda Kwanza Tuanze na Lugha Ya Kimpira! Unafahamu mini Kuhusiana na DEFENSIVE/HOLDING MIDFIELDER?
CENTRAL ATTACKING MIDFIELDER?
WIDE FORWARD?
CENTRE FOWARD?

Ukija na Majibu ndiyo Nitajua Pa Kuanzia..

unamuonea mtoto wa watu wao uzur wa timu yao kipimo ni kuifunga united kasahau hao wakat city anawatawanya palepale kwao walikuwepo.
 
unamuonea mtoto wa watu wao uzur wa timu yao kipimo ni kuifunga united kasahau hao wakat city anawatawanya palepale kwao walikuwepo.
City hajamuacha mtu so far Liver amekalishwa vizuri tu,Chelsea kakalishwa,Arsenal kakalishwa wewe na spurs ndo mmebakia na mtakaa tu tena ule mkao wa wanafunzi wa madrassa😀
 
Conte win EPL with foundation formed by Juda. Key players like Costa,Courtous,Fabregas,Matic ,Willian,Pedro were signed by judas lets wait Conte win trophies with his players (Zapacosta,Drinkwater,Bakayoko,Morata,Alonso)
Kwa maana hiyo Zidane makombe yote aliyochukuwa ni kwa foundation za akina Mourinho,Benitez na Ancelotti maana kawakuta key players akina Ramos,Varane,Marcelo,Kroos,Modric,Isco, Ronaldo,Bale,Benzema.
Tungoje basi achukue ubingwa akiwa na Asensio,Navas,Casemiro,Vasquez ndio awe bora ausio?
Guardiola nae akichukuwa kombe msimu huu stil atakuwa sio bora maana kawakuta akina Otamendi,Fernandinho,Silva,De Bruyne,Sterling,Agüero wote hawa ni foundation ya Pelegrini na waliopita kabla yake.
 
We know where we are going. Sio nyie na loserfool yenu na Kloppo wenu the best goals zenu na archivements zenyu ni kushiriki UEFA.


Please! Please! Please! Huu Ni Uzi Wa Man United! Habari Za Liverpool Zimekujaje Hapa Wakati Tunao Uzi Wetu??

Kwahiyo Hapa Tunayoijadili Ni Man Unite! Mimi Ninaiongelea Chelsea Kwasababu Nyinyi Wenyewe Ndiyo Munaopenda Kujizungumzia Chelsea Yenu Katika Nyuzi Za Watu Kwa Ajili Ya Kutafuta Promo Kwani Bila Ya Nyuzi za Watu Kujitangaza (Promo) Hamutoweza Kujuilikana That is why Munarandaranda Uzi huu na ule Kujipatia Promo angalau Muonekane Kama Chelsea pia ina washabiki Coz Kwenye Uzi Wenu Hanna Munachojadili Bali Copy & Paste za Majarida ya UK...

Hujawahi Kuniona Hata Siku Moja Kuijadili Liverpool Kwenye Uzi Huu au Mwengine Wowote...
Kwahiyo Kama unataka Kuizungumzia Liverpool Uzi Wetu Tunao na Nipo Active Muda Wote Njoo Kule Tuweke Conversation...
 
Please! Please! Please! Huu Ni Uzi Wa Man United! Habari Za Liverpool Zimekujaje Hapa Wakati Tunao Uzi Wetu??

Kwahiyo Hapa Tunayoijadili Ni Man Unite! Mimi Ninaiongelea Chelsea Kwasababu Nyinyi Wenyewe Ndiyo Munaopenda Kujizungumzia Chelsea Yenu Katika Nyuzi Za Watu Kwa Ajili Ya Kutafuta Promo Kwani Bila Ya Nyuzi za Watu Kujitangaza (Promo) Hamutoweza Kujuilikana That is why Munarandaranda Uzi huu na ule Kujipatia Promo angalau Muonekane Kama Chelsea pia ina washabiki Coz Kwenye Uzi Wenu Hanna Munachojadili Bali Copy & Paste za Majarida ya UK...

Hujawahi Kuniona Hata Siku Moja Kuijadili Liverpool Kwenye Uzi Huu au Mwengine Wowote...
Kwahiyo Kama unataka Kuizungumzia Liverpool Uzi Wetu Tunao na Nipo Active Muda Wote Njoo Kule Tuweke Conversation...

fact mkuu toka jumapili tunao humu kauzi kao wala hakatembei mtoto akianza kuota meno ni shida anapojifunza kuongea
 
Mnaniangusha

mkuu tumefungwa mechi ngapi? kibaya kupigwa nyumbani kwako badi naona tupo safi tu ukizingatia tulikuwa na mapungufu ya wachezaj wa 3 wa nguvu ila hilo sio sababu sana muda tunao wakijapanga upya
 
Sasa Conte kawashwa na Guardiola kaja kukuwasha wewe kazi kwako wewe Guardiola akikuwasha sijui utaenda kumuwasha nani😀

kama umesoma vizur post yangu nlikuambia hakuna tatizo kuna jamaa kule kwenu kakuambia unaonekana timu ikishinda hawakutambui ukajitetea una kazi nyingi cha ajabu toka juma pili upo humu 24 hours as if chelsea ndo ushindi wake wa kwanza zilipendwa msubir liverpool anakuja kukutia alama tena tarehe 25
 
kama umesoma vizur post yangu nlikuambia hakuna tatizo kuna jamaa kule kwenu kakuambia unaonekana timu ikishinda hawakutambui ukajitetea una kazi nyingi cha ajabu toka juma pili upo humu 24 hours as if chelsea ndo ushindi wake wa kwanza zilipendwa msubir liverpool anakuja kukutia alama tena tarehe 25
huyo jamaa ndio ananinunulia bundle au ndo mwenye hii simu?
unaongea vitu irrelevant kabisa😀
sio kwamba ni ushindi wa kwanza na si mara ya kwanza kuwafundisha mpira mazwazwa nyie nimsubiri Liver wa nini? kwahiyo ndio umeenda kutuitia Liver sio? ina maana wewe umetushindwa nashkuru kwa kuonyesha kukubali kwamba hamna mpira zaidi ya kelele tu za 4G mnapo waokota mapopoma wenzenu mwehu we.
 
huyo jamaa ndio ananinunulia bundle au ndo mwenye hii simu?
unaongea vitu irrelevant kabisa😀
sio kwamba ni ushindi wa kwanza na si mara ya kwanza kuwafundisha mpira mazwazwa nyie nimsubiri Liver wa nini? kwahiyo ndio umeenda kutuitia Liver sio? ina maana wewe umetushindwa nashkuru kwa kuonyesha kukubali kwamba hamna mpira zaidi ya kelele tu za 4G mnapo waokota mapopoma wenzenu mwehu we.

we toa povu la omo tu unatundikwa na liver na nnakusubir old traford unafikir lig imeisha sherehekea kias zitakuwa faru john hazijakuisha kichwani shabiki wa matokeo wewe wenzio hawakutambui kule nenda kule had wanakusahau kutwa kwa wanuame umepagawa kama mmemshusha city vile kumbe yeeeee ulipokuwa unamjibu una kazi nyingi kwa nn usimuulize kama anakuwekeaga bando? kwa sasa inabid nikushushe bamaga huna hadhi ya kujibishana na mm we suburia chelsea ashinde uje kujipitisha kwa wanaume rijali huku tutawaomba ma admin waunganishe hizi thread ili mpate unafuu wa kushirikiana na wakubwa.
 
huyo jamaa ndio ananinunulia bundle au ndo mwenye hii simu?
unaongea vitu irrelevant kabisa😀
sio kwamba ni ushindi wa kwanza na si mara ya kwanza kuwafundisha mpira mazwazwa nyie nimsubiri Liver wa nini? kwahiyo ndio umeenda kutuitia Liver sio? ina maana wewe umetushindwa nashkuru kwa kuonyesha kukubali kwamba hamna mpira zaidi ya kelele tu za 4G mnapo waokota mapopoma wenzenu mwehu we.

halafu unamkosea heshima crystal palace kwa kumuita popoma wakat kakutundika aliepigwa hizo 4g na united mi chelsea simuogop mjeur akiwa kwake tu hata rekod zipo hivyo
 
Please! Please! Please! Huu Ni Uzi Wa Man United! Habari Za Liverpool Zimekujaje Hapa Wakati Tunao Uzi Wetu??

Kwahiyo Hapa Tunayoijadili Ni Man Unite! Mimi Ninaiongelea Chelsea Kwasababu Nyinyi Wenyewe Ndiyo Munaopenda Kujizungumzia Chelsea Yenu Katika Nyuzi Za Watu Kwa Ajili Ya Kutafuta Promo Kwani Bila Ya Nyuzi za Watu Kujitangaza (Promo) Hamutoweza Kujuilikana That is why Munarandaranda Uzi huu na ule Kujipatia Promo angalau Muonekane Kama Chelsea pia ina washabiki Coz Kwenye Uzi Wenu Hanna Munachojadili Bali Copy & Paste za Majarida ya UK...

Hujawahi Kuniona Hata Siku Moja Kuijadili Liverpool Kwenye Uzi Huu au Mwengine Wowote...
Kwahiyo Kama unataka Kuizungumzia Liverpool Uzi Wetu Tunao na Nipo Active Muda Wote Njoo Kule Tuweke Conversation...
Naona nimekugusa penyewe. Umekuja umejaa
 
fact mkuu toka jumapili tunao humu kauzi kao wala hakatembei mtoto akianza kuota meno ni shida anapojifunza kuongea
Ata nyie mgetufunga mngehamia kabisa ktk uzi wetu.

Tulieni dawa iwaingie taratibu
 
halafu unamkosea heshima crystal palace kwa kumuita popoma wakat kakutundika aliepigwa hizo 4g na united mi chelsea simuogop mjeur akiwa kwake tu hata rekod zipo hivyo
c8d551129b54af03ea3c591f2d5c7b41.jpg



Nyani haoni Kunduye........


Dadeki
 
Back
Top Bottom