Mourinho is a shity manager. anaweza harbu mpira na atmosphere nzima ya timu mambo yake yakimpanda kichwani.lakini pia wachezaji wa kingereza wanawacost Sana mwkocha Epl. Ni lazima upange waingerza si chini ya wanne na ni sheria.watoto Kama lingard,watu Kama Smalling,watu Kama handerson Hawa wanacost Sana timu Ila huna namna Kila siku utawakuta kwenye mechi.