Mie naona Mikh anajitahidi kwa nafasi yake ila anashuka sana na anashidwa kupanda kwa haraka,ila naamini viungo wetu wakirudi tutamuona Mikh akirudi kwenye ubora.Mie nafikiri lukaku yuko poa na ile ndio style yake sema unamuona kapwaya kidogo ni kwasababu feeders hazikuwepo nyuma yake.
Kwa tathmini yangu mikh ndio katokota sana leo na ndio alikua kete ya ushindi toka first half.
Najua Lukaku ni style anayocheza ila sasa hivi defense nyingi zimemjua kwamba hajui chenga na ukiwa unacheza na timu kubwa zinajua weakness yako inakuwa ngumu sana kufunga.Leo Mou alijua kwamba Eriksen ndio uti wa mgongo wa spurs na tulimficha kweli kufanya spurs wawatumie Winks na Aurier kufanya mashambulizi.
Lukaku inabidi kubadilika kama anataka kuongoza attack ya timu kama Utd,naomba tuangalie strikers wa elite teams in europe halafu tumsimamishe na Lukaku.