Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakumbushe vizuri naona hawana kumbukumbu!
 
Lazima nikuelimishe. Mechi kubwa sina mbinu zake.Tatizo tangu mjue neno kupaki basi mnafikiri kila mahali mnaweza kulitumia.

Post yangu ya mwisho hii ombi lako nimelipokea,sitapoteza muda tena kuku-quote.
Huyu bwana ndo zake kwenye big game 2meona game ya liver na hii ! Ngoja mechi za city na chelsea yatakuwa haya2 labd atashambulia game ya mpumbavu mwenzake wenger....na hiyo pia itakuwa ya away home atapakiii semi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…