Wakuu wangu Nav, mfarisayo, eqlpz, belo, BJ et al...ongeren sana...m bana during the game ad mda mchache uliopita sikuwa naweza post kitu apa (nadhan n hujuma za Mod Wacha Boy, Mbu na AW)...ile wamefungulia tu, niko kule kwao nwaliwaza....
Apa tukutane kesho kufanya mahesabu ya biashara ya leo...
kudadeki..naneee?! moja, mbili, tatu........naneeeeee! khkeeeeeeeee!