Kaka punguza hisia kwenye ushabiki...... unajua kwanini Lukaku amenunuliwa na kwa bei hiyo?, unajua kwanini strikers wanakuja EPL huwa wanapata shida msimu wa kwanza?
City anazidiwa uwezo kwenye ulinzi na Utd, ila uwezo mkubwa wa city upo kwenye middle ambao wengi ni creative kwahiyo wana attack sana na wapo clinical.
Utd haina viungo creative timu yetu ilikua imemzunguka Pogba na pia Matic aliletwa kumsaidia Pogba ili tuwe tuna attack...... ndio maana 4g ilitawala.
Fanya utafiti kidogo nikitulia ntakuja kukupa darasa kwa sasa nipo kwenye simu.